Nani alithubutu kuniuliza hili swali?



Endelea kupokea tiba mkuu..unaonekana bado unashida
 
Sijamaliza kuisoma ila nikitulia nitaisoma vizuri, naamin humo ndani kuna ujumbe mkubwa na mzito sana
 
Comming soon
 
Kwa nini si vizuri kufunua ulimwengu wa hisia za vichaa. Kuna kipindi nilikaa naye mmoja ananipa visa vingi anavuoviona, na alipenda kunisimulia kwa sababu nilionesha kumuamini tofauti na watu wengine waliokuwa wakimbeza waziwazi!
 
Nimejitahidi kusoma nikiwa vitu sijaelewa haya nimekuja hapa timamu kabisa lakini pia sijaelewa..dah yaan nilichoelewa ni jehanamu *****

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyuzi ya kwanza nilijua amefanya makusudi...sasa nyuzi hii naona kweli dishi limeyumba kama lote.......hakuna mtu hapo walah
 
Unaweza kuwa mgonjwa wa ajiri ukajiunga jamii forums uka login na ukapost kabisa ?
Tofauti kati ya kudata na utimamu ni ndogo sana....huyu amedata kiaina lakini huwa anajitambua muda mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…