Mkuu mbona kama umekuja na hali ileile ya ukichaa jf?
Pole sana ila nakutia moyo kwa kuwa uu karibu na kupona.
Kupona kutakuwa ni kuishi kama wanadamu wengine wanayoishi hata kama nyuma ya macho yetu ungali ukiyapitia masaibu
Endelea kutiririka ila uwe makini maana sio vyema kufunua siri za vichaa/ulimwengu wa hisia wa vichaa!