yitzhak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 616
- 853
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa
Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.
Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake
Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza
Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui
Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.
Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake
Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza
Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui
Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu