obedileonard
Member
- Aug 18, 2015
- 22
- 1
mmmh m.mwishoo kula n 17,550/
mimi nilikula elfu 16 ila ukihesabu vibukubuku vilivyoliwa vinaweza kununua kiwanja na mifuko 120 ya sementi,
bado nina ndoto ya kurudisha ela yangu
Aisee inaonekana una uzoefu tusaidie kutuwekea mikeka huku na sie tubahatisheBinafsi nimewahi kupata 169237/= kwa buku.Elf 60,32000/,22657 na vielf kumi kumi ni vya kawaida though NIPO KTK GAME KITAMBO NA VIPIGO NAVYO VIPO VYA KUTOSHA!
Jmosi nimeongeza 70,867/= kwa buku jana kaponea kwa liverpool.NJE YA HAPO 356915/ingekuwa ktk m pesa muda huu
binafsi si bet ila naambiwaga kuna mshikaj kampiga mhindi 50ml....kuna mwingine miez kama tano iliyopita alidaka laki 5....taarifa za wanaokula ni wachache ukilinganisha na wanaoliwa.....watu wa mikeka poleni sijashawishika bado ila navikumbuka vijero vyangu viwili.....sikurudia tena
Mkuu andika vizuri au kweli ulishinda Elfu 60,32000?Binafsi nimewahi kupata 169237/= kwa buku.Elf 60,32000/,22657 na vielf kumi kumi ni vya kawaida though NIPO KTK GAME KITAMBO NA VIPIGO NAVYO VIPO VYA KUTOSHA!
Jmosi nimeongeza 70,867/= kwa buku jana kaponea kwa liverpool.NJE YA HAPO 356915/ingekuwa ktk m pesa muda huu
Mbet mwisho mil 3mimi nilipata milioni 12, tano na juzi tu nimevuta m9
Hahah ushakuwa sugumimi nilikula elfu 16 ila ukihesabu vibukubuku vilivyoliwa vinaweza kununua kiwanja na mifuko 120 ya sementi,
bado nina ndoto ya kurudisha ela yangu
ww siaminidaa hongera sana ndugu. me na ndoto bado