Amanijua
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,776
- 1,584
Daaaah umenikumbusha mbali sana mkuu.wadau habari zenu. embu tuone nan aliepata kitita kikubwa cha pesa hapa ndani. Mimi buku Tisa. huwaga na weka mkeka was buku tuu sizidishi. ila hii kitu imenisaidia kiasi japo naliwa
Siku ya kwanza jamaa kanifundisha kubet tukiwa tunachek mechi nikaweka dau la 5000.
Nilicheza kupitia simu ya tochi tu.
Sikufuatilia hata matokeo,kesho yake nimekaa na wafanyakazi wenzangu nikaona text ya M-PESA TSH.482,000/=.
Hakika ilikua cku njema sana kwangu.
Baada ya hapo ilinichukua takribani wiki moja kula tena.