NANI ALAUMIWE

Jofjoe

Member
Nov 12, 2016
23
25
Wakati vyanzo vya nishati vinaongezeka bei ya umeme inapanda
Bei mpya ya umeme kupanda kwa 8.5% kuanzia January 1
 
Hili la umeme sitaki kuamini kuwa ni mfupa uliomshinda fisi. Nalo litapatiwa ufumbuzi wake ni suala la muda tu. Hata hivyo kero nyingi za kuhusiana na umeme tulizoziishi huko nyuma zimepungua kwa kiasi cha kutilia matumaini.

Tuko wa hanga wa yale mambo ya richmond wala sitaki kukumbuka mgao wa umeme wakati ule na pata hasira sana.

Na washawasha!
 
Back
Top Bottom