Kule VAT yao risasi na mabomutwenzetu somalia hakuna mambo ya VAT
Tena wapigakura waliaminishwa kuwa push up zinaleta mabadiliko ya kweli kumbe tumeungana na mawazo ya prof J aliyesema mtu anaenda mbele hatua mbili kisha nyuma hatua kumi kisha anajipongeza bila kijali hatua nane alizopoteza.Wacha tuisome nambaaaaa eee fisiem mbele kwa mbele.Tulaumiwe wapiga kura