maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Kuna la kujifunza Kwa watawala wetu ambao hawatuongozi bali kututawala
Ndivyo mahaba yako yanavyokutuma, taratibu binti.Message sent and delivered.Period
Bwana mdogo,Nyie ndio wachawi wenyewe hamlali kutwa kutafuta majungu majungu kupekenyua pekenyua mambo upuuzi sana huu
Ndivyo mahaba yako yanavyokutuma, taratibu binti.
Even quatation ya din ya kiisalmu sinaruhusiwa coz tunajenga nyumba mojahizi quotation za biblia kwenye nyuzi zinatamalaki sana.
Naona unatafuta mimba.Message sent and delivered to you.Usitokwe mapovu utaumia
Hakuna kejeli hapo, punguzeni siasa fanyeni kazi kutwa lawama lawama,Bwana mdogo,
Huu ni ushauri tu, wala haina haja ya kejeli.
Lakini usifikiri kwamba kila mtu anakaa Tanzania kwamba kwake ni usiku......
Naona unatafuta mimba.