Nani aijuaye kesho?

kweli.....

maisha yana siri kubwa ....
inafikia wakati mtu unakata tamaa.... maana kila unavyojitahidi wapi ...na hapo inakuwa huna saidizi yoyote....nikikumbuka.....wakati mwengine hutoka machozi!
na wanakuja kukuvuta Toka kule bondeni ni watu ambao hukuwaza wala kufikiri na huwajui!
Bado namkumbuka mtu aliyenipa nauli ... na aliyenisaidia nikatoroka......
Mungu awape baraka huko waliko..maana siwajui tena ingawa nilijaribu kuwatafuta lkn sikufanikiwa.... sina maisha mazuri ila sio mabaya kama ningelibaki kule walikonisaidia kutoka!
Nimepata somo kubwa maishani! na najitahidi kusaidia pale ninapo weza.
 
Huo ni ukweli wa maisha ya kila binadamu! Binadamu yeyote anayejitambua na aliye na akili timamu anapaswa kutambua ukweli huo.

Kila kitu juu ya uso wa dunia hubadilika kulingana na muda!!! Hakuna kitu chochote kinachosalia vile vile siku zote.
 
Data unapata wapi mkuu..
 
Haya maneno ni ya hekima sana. Unapopanda juu usiwasahau waliopo chini, kwani siku utakapoporomoka utawakuta wapo hapo kukupokea.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…