Nandy: Vanessa na Ruby hawaniwezi

Niambie Hit song ya nandy ambayo unaweza kuifananisha na wimbo wa maua sama "IOKOTE"
Taja mwingine, maua yes iokote ilikuwa bonge la hit lakini baada ya huo taja mwingine.
Sasa nandy anaz nyingi ambazo ni average.

Hivi ni bora kutengeneza faida kubwa sana kwa mara moja au faida kidogo kidogo kwa muendelezo?
 
Huyo Nandy kwa Dullah Makabila atasubiri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…