sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,895
- 5,308
Habari wapenzi wa filamu za ndani na nje ya TANZANIA, nimeangalia DEATH RACE 3 hakika nimefurahi sana hasa baada ya kumuona dada machachari wa isidingo Nandipa akifanya vitu vyake mule, ni mafanikio makubwa mno inapofikia watu kutoka hollywood wanatambua ubora wako na kuamua kukuweka katika filamu zao, swali langu kwa wasanii wa bongo munalichukuliaje hilo, au ndio mumeridhika na filamu zetu na hatuna mawazo ya kutoka kimataifa?
Ni wakati sasa wakuacha kuiga uigizaji wa Kinigeria na kujiweka katika ngazi nyingine ya uigizaji.
Ni wakati sasa wakuacha kuiga uigizaji wa Kinigeria na kujiweka katika ngazi nyingine ya uigizaji.