TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,810
Nilishasema huko Mwanzo Kuwa Magufuli nilimpenda sana Alipokuwa Waziri, Mara Kumi Zaidi Kuliko Lowassa, Ila Nilimuunga Mkono Lowassa na Ukawa Kwa hali waliokuwa wamefikia CCM! Na Pia kutokuwepo na equilibrium ya Kisiasa inayompa Mwananchi nguvu kwa chama Kilichomadarakani Kujua kuwa Kikizembea uko uwezekano 50, 50 wa kuondolewa na kutawazwa Chama Kingine. Kwa hili Magufuli amefeli, amezidi Kumomonyoa Kale kamatumaini, ka hiyo equilibrium ninayoizungumza.
Baya Zaidi Ni Kuwa Hata kama Magufuli anaamini ana Nia Nzuri namna Gani, Kama akiua Ushindani wa Kisiasa na hiyo equilibrium ninayosema, atajenga impunity ambayo ndio chanzo hasa cha majipu anayopambana nayo. Kwa kuwa hawezi kuwa Rais Milele, siku akiondoka tu kutakuwepo sio tu Majipu, bali Matende na Mabusha! kwani wataogopa nini, hakuna mpinzani au ukosoaji wowote! hata wafanye madudu gani CCM "watachagulika" tu na kuteuana! Tena wale wanaCCM wema na Waadilifu ndio watakuwa first Victims! Je Mh Magufuli ndio anataka hii iwe Legacy yake!
Pia ameziba sauti za Wapinzani na In a Long run Kama Upinzani Ukifa nchini, Au Niseme Kama Ushindani wa Kisiasa ukifa nchini, waathirika wa Kwanza ni Wananchi na Pia Wana CCM, maana tutarudi kule kule miaka ya 90-2000 Kuwa CCM ukipewa Tikiti tu wewe umebakia kuapishwa Tu, hii itaathiri kwa kuwa kura za CCM za Maoni hazitazingatiwa na Ukionewa watakwambia Ishia kavue samaki, kwani Utaenda wapi! Vyama vyote vimekufa?
Hayo Niache, Simwombi Msamaha kwa kuwa nilimpinga, Mh Magufuli kwa Kumkamata Lema, au Kwa Kumkamata Lissu au kwa Kuzuia Mikutano ya Kisiasa! No kwa hayo hata sasa Nampinga na Nashidwa kuelewa anafanya hivyo kwa faida ya Nani hasa!
Sasa Kumbe Namwomba Msamaha wa Nini? Namwomba Msamaha kwa Kumshambulia aliposema Kuna Makosa Mengine Mtu akikamatwa Ready handed hata Utetezi asipewe! Nilikuwa mmojawapo niliyemshambulia sana, Tena kwa hasira na kwa Lugha ya Kukosa adabu kwa Kuwa nina hasira naye kwa yale niliyoyataja Mwanzo! Hata kwa hili Kisheria naamini alikosea, Lakini, Tohell with Kisheria, Kimakosa hivyo hivyo, niseme Kuna Mambo Nimeyatazama na Nikaona Msimamo wake na Wangu kwa Haya Ungekuwa Kama wake! Tena Ningeenda Mbali zaidi, hata Mahakamani Nisingeenda, Ingekuwa inawezekana ningesema Polisi watu Kama hawa hata mahakamani wasipelekwe bali wachapwe shaba on the site! Piga Picha Mwanamke mmoja wapo hapa ni Mama yako, au Ni Mke wako au Ni binti yako au Nimdogo wako tena yule kipenzi wenu Kitindamimba!
Mifano ni hii hapa
1)
2)
3)
Pia Ujumbe huu Ni kwamba Unatoka Moyoni, wala sina Chuki na Mh Magufuli, Ajue Kuwa wanaompinga sasa walikuwa zamani Wakinywa Maji walikuwa Wanamwona Kwenye Glass, Hawalali bila Kutafuta video ya Magufuli,Na Bila Aibu Mimi Nilikuwa Moja wapo na Nilisem hilo hata Nilipokuwa Nampigia Debe Lowassa na Ukawa! Lakini kutokana na Niliyo yataja Mwanzo Nini ni Moja kati ya Wanaompinga Bila woga wala Kificho!
Sasa Mimi Namsihi Mh, asinirudishe Mikono Mitupu, Aangalie Upya Msimamo wake Mzima wa Kuzuia shughuli za Kisiasa na Uhuru wa Maoni ( hata pale yanapokuwa ni ya Porojo).
Baya Zaidi Ni Kuwa Hata kama Magufuli anaamini ana Nia Nzuri namna Gani, Kama akiua Ushindani wa Kisiasa na hiyo equilibrium ninayosema, atajenga impunity ambayo ndio chanzo hasa cha majipu anayopambana nayo. Kwa kuwa hawezi kuwa Rais Milele, siku akiondoka tu kutakuwepo sio tu Majipu, bali Matende na Mabusha! kwani wataogopa nini, hakuna mpinzani au ukosoaji wowote! hata wafanye madudu gani CCM "watachagulika" tu na kuteuana! Tena wale wanaCCM wema na Waadilifu ndio watakuwa first Victims! Je Mh Magufuli ndio anataka hii iwe Legacy yake!
Pia ameziba sauti za Wapinzani na In a Long run Kama Upinzani Ukifa nchini, Au Niseme Kama Ushindani wa Kisiasa ukifa nchini, waathirika wa Kwanza ni Wananchi na Pia Wana CCM, maana tutarudi kule kule miaka ya 90-2000 Kuwa CCM ukipewa Tikiti tu wewe umebakia kuapishwa Tu, hii itaathiri kwa kuwa kura za CCM za Maoni hazitazingatiwa na Ukionewa watakwambia Ishia kavue samaki, kwani Utaenda wapi! Vyama vyote vimekufa?
Hayo Niache, Simwombi Msamaha kwa kuwa nilimpinga, Mh Magufuli kwa Kumkamata Lema, au Kwa Kumkamata Lissu au kwa Kuzuia Mikutano ya Kisiasa! No kwa hayo hata sasa Nampinga na Nashidwa kuelewa anafanya hivyo kwa faida ya Nani hasa!
Sasa Kumbe Namwomba Msamaha wa Nini? Namwomba Msamaha kwa Kumshambulia aliposema Kuna Makosa Mengine Mtu akikamatwa Ready handed hata Utetezi asipewe! Nilikuwa mmojawapo niliyemshambulia sana, Tena kwa hasira na kwa Lugha ya Kukosa adabu kwa Kuwa nina hasira naye kwa yale niliyoyataja Mwanzo! Hata kwa hili Kisheria naamini alikosea, Lakini, Tohell with Kisheria, Kimakosa hivyo hivyo, niseme Kuna Mambo Nimeyatazama na Nikaona Msimamo wake na Wangu kwa Haya Ungekuwa Kama wake! Tena Ningeenda Mbali zaidi, hata Mahakamani Nisingeenda, Ingekuwa inawezekana ningesema Polisi watu Kama hawa hata mahakamani wasipelekwe bali wachapwe shaba on the site! Piga Picha Mwanamke mmoja wapo hapa ni Mama yako, au Ni Mke wako au Ni binti yako au Nimdogo wako tena yule kipenzi wenu Kitindamimba!
Mifano ni hii hapa
1)
2)
3)
Pia Ujumbe huu Ni kwamba Unatoka Moyoni, wala sina Chuki na Mh Magufuli, Ajue Kuwa wanaompinga sasa walikuwa zamani Wakinywa Maji walikuwa Wanamwona Kwenye Glass, Hawalali bila Kutafuta video ya Magufuli,Na Bila Aibu Mimi Nilikuwa Moja wapo na Nilisem hilo hata Nilipokuwa Nampigia Debe Lowassa na Ukawa! Lakini kutokana na Niliyo yataja Mwanzo Nini ni Moja kati ya Wanaompinga Bila woga wala Kificho!
Sasa Mimi Namsihi Mh, asinirudishe Mikono Mitupu, Aangalie Upya Msimamo wake Mzima wa Kuzuia shughuli za Kisiasa na Uhuru wa Maoni ( hata pale yanapokuwa ni ya Porojo).