Namuuliza status yake hasemi

wanaume huwa hatuulizi hilo swali nyakati hizi broo kama umempenda angalia mbele
 
swala ni kwamba bado ana mtu wake
ila wewe upo kwenye trial
sasa ponea yako sio mgegedo bali ni uvumilivu na pia ombea kule kwa mwenzio azidi kuharibu utatunukiwa wewe tu...
hatak mambo ya mgegdo maana akili yake haiko huko sasa..kwa sasa anahitaj mtu wa kumsikiliza na kumjengea imani...so be that person..
 
Bikra inakutwa, haiuliziwi sasa unataka akuambie Hana? Au anayo? Usipoikuta je? Bikra unaijua wewe? Utakosa watoto Wakar kwa maswali yako ya kipuuzi...sasa we uliza kila mwanamke una bikra? Uone kama utapata hicho unachotaka...labda za Shabu..we unayo?
 
Mwanamke haulizwi km n bikraa... Ingia ndan utajua.... Wanaume wa DAR mnatutia aibu
 
Apo utakuta kuna jamaa pembeni anakula kilaini wakati wewe bado unaendelea kuulzia kama anabikira
 
Kwa maswali ya namna hiyo muda si mrefu hatq huo urafiki utaisha.
 
Christian girls are very confusing when it comes to relationships, kama unampenda don't mess with her rules.. atajichanganya tu siku moja and when the chance come don't make mistake buddy, maana after that unaweza ukaachwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…