General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Kuna Mchizi alinifata na kunieleza kamkubali sana Dada angu. Nilivyo mcheki ni jamaa smart tu.
Nikamwambia karibu. Dada alikuwa hamwelewi ila naona sasa mambo yao ni motooo!!
Nikamwambia karibu. Dada alikuwa hamwelewi ila naona sasa mambo yao ni motooo!!