fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,609
- 7,169
Namuonea huruma sana huyu waziri wa mambo ya nje ya Irani,mtu mpole,mtu mwema na aliyeelimika vizuri sana,maana atauawa hivi karibuni,natamani atoroke Iran
Kuna haja gani ya kuishi kinafki wakati taifa lako lipo vitani??Namuonea huruma sana huyu waziri wa mambo ya nje ya Irani,mtu mpole,mtu mwema na aliyeelimika vizuri sana,maana atauawa hivi karibuni,natamani atoroke Iran
Kuuwa ni Swadaka kwa Imani. Hiyo haiwatishi wa Iran.atauawa
sa kwann wanajifchaficha kwny mapango na kuskojulikana si wajtokeze wote hadharan ili wafie imani na tuamin kwamba hawaogopi kifo.Kuuwa ni Swadaka kwa Imani. Hiyo haiwatishi wa Iran.
Taja Kiongozi mmoja wa Iran ambaye ameuawa akiwa amejificha kwenye handaki. Wote walikuwa ama kwenye majukumu Yao, ama walikuwa na familia zao nyumbani. Iran hawaogopi kifo. Ndiyo maana unawaona wakiendelea na maisha Yao huku wakiwasindikiza mashujaa wao mitaa ya Tehran katika safari zao za mwisho hapa Duniani.hadharan ili wafie imani na tuamin kwamba hawaogopi kifo.
Ccm wanakutawala mwaka wa sitini huu hata kutingisha mguu huwezi na wanakutia njaa kweli kweli na cha kuwafanya huna ila unashauri wenzio wabaki wafe.Kuna haja gani ya kuishi kinafki wakati taifa lako lipo vitani??
Acha afe kwa ajili ya nchi yake..
Kifo ni kifo kila mtu atakufa..