feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,803
- 12,668
Kwani Mechi ijayo As Vuta si anacheza na Ahly?
Simba next round hamna hamna hakosi Point 4, yaan afungwe Cairo, a draw na Vita Kisha amchape Msudan. Atakua na total 11 points jumla.
Waliobaki watahitaji points 7 kufikia hizo 11 za Simba. Yaan washinde mbili na draw moja. Katika hizo mbili za kushinda kila mmoja atavuna point 3 kwa Msudan.
Itabaki points 4. Vita akidraw na Simba atahitaji kumchapa Ahly pale Kinshasa. Na Ahly endapo atamfunga Simba Cairo na Msudan atahitajika kufanya kazi ya ziada Kinshasa.
So atakaeshinda Lubumbashi ndo atakaepita na Simba endapo atafanikiwa kupata Point 4 mzunguko wa pili.