Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Kama ilvyo kwa Kingoreme amadoli maana yake ni 'kati kati ya matako'...safi!
Kama ilvyo kwa Kingoreme amadoli maana yake ni 'kati kati ya matako'...safi!
mkuu unaongea toka moyoni au ni ushabiki tu. Hahaha simba anamburuza yanga hata tukiwa watu 10....hahahaha au umekuwa msahaulifu ghaflahahahahaha mkuu umenichekesha. Eti chupuchupu. Hebu tumia angalau percentage chache ya uwezo wako wa kufikiri. Kikosi cha Bilioni 1.3 ndo huwa kinabaka vile...tena dhidi ya kikosi cha Milion 450?
Shukuru Mungu Kuwa mbaya wako "Amis Joslin Tambwe" na kijana machachari aliyefungiwa na shabiki wa simba(karia) aiwaye "Obrey Cholla Chirwa" hawakuwapo wote.
vinginevyo mngekuwa mitaa ya msimbazi pale mkiwataka viongozi wenu wairudishe timu mikononi mwenu kutoka kwa "MO".
mkuu unaongea toka moyoni au ni ushabiki tu. Hahaha simba anamburuza yanga hata tukiwa watu 10....hahahaha au umekuwa msahaulifu ghafla
Sasa ulitaka akabe penalti? Akili nyingine sijui mlizitoa wapi? Inaelekea ulizitoa akili ulizopewa na MUNGU ulizi-clear.
Kweli we mtoka pabaya sijui umetoka katikati ya matakoKama ilvyo kwa Kingoreme amadoli maana yake ni 'kati kati ya matako'...safi!
Achana nae akili zake alishazi-clear akaweka za kipuuzi, alitaka jamaa akabe penalti.
Duh Kumbe hukuangalia mpira!
huyu Jamaa amekizuia kikosi cha bilioni 1.3 kupata goli lolote ndani ya dakika 90 za mchezo.
Hakuna aliyekuwa na chembe ya shaka baada ya kukamilika kwa mtanange wa ngao ya hisani kuhusu Pappy.
Man of the Match Mkongomani Pappy Kabamba Tshishimbi anaonekana kuwa na damu yenye vina saba na mchezaji wa Taifa la Holand Edgar Davis.
Tutegemee tuzo ya mchezaji bora wa kigeni msimu wa 2017/18 kutua mikononi mwa Pappy K. Tshishimbi.
Huyu Jamaa anafanya kazi ambayo ilikuwa ikifanywa na wachezaji wawili wa msimu uliopita yaani (Niyonzima + Zullu).
Nisiongee sana ngoja nitafakari jinsi Dogo Gadiel MICHAEL alivyomuweka mfukoni Emmanuel A. Okwi.
Kiwango cha kawaida kabisa so cha daraja LA Davis umelinganisha kikombe baba na ndoo laiti angekuwa hivyo usingempata Jana hapa tz mind youYule jamaa anaujua mpira, kwa miaka mingi katika Ligi Kuu ya TZ (VPL) sijamwona mchezaji mwenye kiwango kikubwa kama Tshishimbi. Bahati mbaya yake tu umri umesogea, sijui alichelewa wapi, hastahili kucheza ligi hii.
Kwani katiakti ya matako ni pabaya? Mi najua ni patamu, kama ulivyo kwa Kingoreme
Aya tshishimbi a.k.a takooooooooKwani katiakti ya matako ni pabaya? Mi najua ni patamu, kama ulivyo kwa Kingoreme
hahaha huwa tunatoa vipigo vya udhalili,kama vile kumpiga mtu mkono,au wiki kasoro siku. HahahahahahaHebu uliza MIKIA wenzako nani amemfunga mwenzake mechi nyingi ? Ukipata jawabu ndio urudi hapa.
Naamini umeongea haya bila ushabiki. Umeita nyeusi kwa jina lake, wakati Niyonzima yuko kwenye kiwango chake na umri unaruhusu nilikuwa najiuliza sababu ya yeye kuendelea kusota kwenye ligi ya mchangani wakati angeweza kufanya makubwa na time kama Niece au Sampdoria lkn ndo hivyo tena bahati ikafia mlangoni. Huyu dogo ni mzuri bila upendeleo wowote . akiongeza bidii hatadumu Tanzania.Matokeo vipi??
Huyu mkongo niwe mkweli yuko vizuri, kiango chake sio cha kuchezea yanga! Yanga watamuharibu!
hahaha huwa tunatoa vipigo vya udhalili,kama vile kumpiga mtu mkono,au wiki kasoro siku. Hahahahahaha
HahahahahahKuna chenga moja alipigwa kama sikosei ni niyonzima na Tshishimbi hadi alikaa chini. Mwenye ka clip au hata picha tu aiweke hapa mi roho isuuzike!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana asee,hapa burudani kabisa tens ngoja niiweke kwa kwa wall paper ya PC na simu yangu.
Hajaziba pengo la Niyonzima..Ameziba mapengo ya Athuman Idd Chuji na Frank Domayo..Alivoondoka Chuji pengo lake lilizibwa na Domayo...Alivoondoka Domayo Yanga imekuwa na tatizo la DM..Juma Seif Kijiko na Said Juma Makapu wameshindwa kuziba pengo hilo..Aliletwa Justin Zulu naye kashindwa kuziba pengo...Mara chache Salum Telela aliimudu nafasi hiyo...Jamaa kaziba pengo la Niyonzima halafu kapitiliza. Ni mtamu kuliko muwa wa mtibwa. Hongera kamati ya Usajili ya yanga.