😂😂😂😂Kisa umesikia tunaanza kuzikia kwenye makaburi ya manispaa au?
Kama upo huko naomba msaada kuna mahala napatafuta.Nyòosha maelezo....
Sema. Nipo moshi ndio.Kama upo huko naomba msaada kuna mahala napatafuta.
Hayo hayo yakwako mambo gani?Mambo zenu wote.
I hope mko powa mimi natafuta mtu wa moshi ila asiwe mlokole awe anajua mambo ya mji mtulivu.
Kwa maana nashida sio ya mapenzi.
Ni yale yale yakwangu kama upo tayari .
Ni pm
Ila tafadhali usinipm kama uko nautani.
Mi mwana mke.
Ni pm sio kila jambo ni lakusema tu.Moshi kubwa funguka zaidi
Sio wachaga watu ndio wanamsema yupo huko.Ulikujaga na uzi wa kumtafuta mganga sasa umerudi na huu...huko Moshi wamekwambia ndio kuna waganga ? Wachagga waongo sana huwenda wameshaona fursa kwako
Nije na umeblock conversationNjoo inbox uniulize hilo eneo, mi naifahamu Moshi A to Z....
Mambo zenu wote.
I hope mko powa mimi natafuta mtu wa moshi ila asiwe mlokole awe anajua mambo ya mji mtulivu.
Kwa maana nashida sio ya mapenzi.
Ni yale yale yakwangu kama upo tayari .
Ni pm
Ila tafadhali usinipm kama uko nautani.
Mi mwana mke.
Mbona umefunga PMNi pm wewe