Mie sie mwenyeji sana humu JF lakini nahisi nipo mahali sahihi.
Kuna rafiki yangu namtafuta anaitwa Frank, tulikutana Morogoro chuo cha afya na aliniambia kwao ni Dar japo kila tukifunga chuo alikuwa anaenda Dom kwa kaka yake ambaye anakaa Kisasa.
Kwa mtu mwenye kumjua ama mwenye mawasiliano naye naomba anisaidie, ni pm.