Foffana JF-Expert Member Joined Oct 29, 2022 Posts 2,782 Reaction score 4,585 Jan 21, 2026 #21 Kwahiyo umekuja kujiulizia kwa ID yako nyingine?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,461 Reaction score 185,071 Jan 21, 2026 #22 Yupo na mambo yake... Cc: Mahondaw
adriz JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 15,568 Reaction score 33,928 Jan 21, 2026 #23 secretarybird said: Umejuaje 😂. Click to expand... Mimi nimesoma kwa Fidel , najua ni Boss lady halafu roho safi Uzi wa Jf voucher alikuwa anasambaza upendo mpaka wakina mbagaJr wakawa wanamfuata Pm
secretarybird said: Umejuaje 😂. Click to expand... Mimi nimesoma kwa Fidel , najua ni Boss lady halafu roho safi Uzi wa Jf voucher alikuwa anasambaza upendo mpaka wakina mbagaJr wakawa wanamfuata Pm
secretarybird JF-Expert Member Joined Aug 22, 2024 Posts 15,387 Reaction score 28,776 Jan 21, 2026 #24 adriz said: Mimi nimesoma kwa Fidel , najua ni Boss lady halafu roho safi Uzi wa Jf voucher alikuwa anasambaza upendo mpaka wakina mbagaJr wakawa wanamfuata Pm Click to expand... Lakini kusema ukweli pamoja na ukabwela wangu mimi sijawahi kumpiga vizinga huyu bibie. Ila namkubali sana bhana 😂.
adriz said: Mimi nimesoma kwa Fidel , najua ni Boss lady halafu roho safi Uzi wa Jf voucher alikuwa anasambaza upendo mpaka wakina mbagaJr wakawa wanamfuata Pm Click to expand... Lakini kusema ukweli pamoja na ukabwela wangu mimi sijawahi kumpiga vizinga huyu bibie. Ila namkubali sana bhana 😂.
Mcmillan de Maghayo Senior Member Joined Dec 6, 2025 Posts 186 Reaction score 393 Jan 22, 2026 #25 adriz said: = She has been taken . Click to expand... Big up dogo 👍🏿 Pia neanderthals nilienda nikasoma😁
adriz said: = She has been taken . Click to expand... Big up dogo 👍🏿 Pia neanderthals nilienda nikasoma😁
Scott junior JF-Expert Member Joined Mar 24, 2022 Posts 2,453 Reaction score 3,297 Jan 22, 2026 #26 Foffana said: Kwahiyo umekuja kujiulizia kwa ID yako nyingine? Click to expand... We jamaa bana
Nazi Ignition JF-Expert Member Joined Jun 3, 2020 Posts 2,099 Reaction score 5,883 Jan 22, 2026 #27 Genius Man said: Namtafuta Bantu Lady hivi mme muona wapi ? Click to expand... Nahisi zele vocha alizokuwa anatoa inaweza ilikuwa ni operation maalumu ya ku_ID watu humu, ukiweka vocha wana namba yako ya simu jina na nida au inaweza kuwa ilikuwa vocha tu.
Genius Man said: Namtafuta Bantu Lady hivi mme muona wapi ? Click to expand... Nahisi zele vocha alizokuwa anatoa inaweza ilikuwa ni operation maalumu ya ku_ID watu humu, ukiweka vocha wana namba yako ya simu jina na nida au inaweza kuwa ilikuwa vocha tu.