Namrudisha Mke wangu kwao

Habari zenu waheshimiwa,nimeamua kumrudisha mke wangu kwao.
Sababu kuu ya kufanya uamuzi huu ni kwamba mie ni mtu wa wanawake wengi nje,kula nyumbani ni kwa mbinde kulala nako kwa week naweza nikalala nyumbani mara moja na yeye kutonifanya chochote,namuonea huruma huyu binti wa watu,nataka nimrudishe kwao naona kama nambania kwa kuwa nami bora nimrudishe kwao anaweza akapata mume muadilifu atakayefanana naye tabia.
Ila mpaka sasa sijamwambia kitu,nataka jumapili hii nimwambie twende kwao tukawatembelee wazazi na ndio hapo nitakapolilipua hili bomu.Nalog off

Huko unakotaka kumpeleka sio KWAO, kwao ni hapo anapoishi sasa, sema unataka kumpeleka KWA WAZAZI WAKE. Kwani ame complain? Pengine hizo tabia zako ndo alizo kupendea usimkatili mtoto wa watu. Kama una hakika hazipendi kwa nini usibadilike.
 
Washawasha unamtafutia sababu tu my wife wako, Juzi ulisema unampango wa kumuacha ili ukimegewa isikuume, mie nikaahid kuwa kuwa Ntakumegea B4 Hujamtaliki my wife wako, Du umeniwahi kweli Kaka Washawasha------
PS: usipate tabu ya Kumpeleka kwao my wife wako kwao, we mlete kwangu, utakuwa umemsaidia sana (0799778890):lol:
 
Habari zenu waheshimiwa,nimeamua kumrudisha mke wangu kwao.
Sababu kuu ya kufanya uamuzi huu ni kwamba mie ni mtu wa wanawake wengi nje,kula nyumbani ni kwa mbinde kulala nako kwa week naweza nikalala nyumbani mara moja na yeye kutonifanya chochote,namuonea huruma huyu binti wa watu,nataka nimrudishe kwao naona kama nambania kwa kuwa nami bora nimrudishe kwao anaweza akapata mume muadilifu atakayefanana naye tabia.
Ila mpaka sasa sijamwambia kitu,nataka jumapili hii nimwambie twende kwao tukawatembelee wazazi na ndio hapo nitakapolilipua hili bomu.Nalog off

Kama huu ndio uGREAT THINKER wako, JF si mahali pako. Tunahitaji akili zilizotulia. Unakera!
 
chamsingi wala usimpeleke kwao, mpe nauli pia ela ya kuanzia naomba namba yake ya simu ya mkononi tafadhali, kwani kuondoka kwako si mwisho wa maisha yake. we hujui kupenda, nenda uwe free ufanye ufuska naamini ni virusi tu ndo vitakurejeshea akili pia kukushikisha adabu yako.
 
wala tigo ndo mnakuwaga hivi,sema wife umeona hana mambo hayo ndo unazuga na hizo sababu feki...!ww inabidi u-restart kbs coz kulog off haitoshi..!
 
Habari zenu waheshimiwa,nimeamua kumrudisha mke wangu kwao.
Sababu kuu ya kufanya uamuzi huu ni kwamba mie ni mtu wa wanawake wengi nje,kula nyumbani ni kwa mbinde kulala nako kwa week naweza nikalala nyumbani mara moja na yeye kutonifanya chochote,namuonea huruma huyu binti wa watu,nataka nimrudishe kwao naona kama nambania kwa kuwa nami bora nimrudishe kwao anaweza akapata mume muadilifu atakayefanana naye tabia.
Ila mpaka sasa sijamwambia kitu,nataka jumapili hii nimwambie twende kwao tukawatembelee wazazi na ndio hapo nitakapolilipua hili bomu.Nalog off

Washawasha baby. Hii ni Ze commedy, no comments dude!
 
Habari zenu waheshimiwa,nimeamua kumrudisha mke wangu kwao.
Sababu kuu ya kufanya uamuzi huu ni kwamba mie ni mtu wa wanawake wengi nje,kula nyumbani ni kwa mbinde kulala nako kwa week naweza nikalala nyumbani mara moja na yeye kutonifanya chochote,namuonea huruma huyu binti wa watu,nataka nimrudishe kwao naona kama nambania kwa kuwa nami bora nimrudishe kwao anaweza akapata mume muadilifu atakayefanana naye tabia.
Ila mpaka sasa sijamwambia kitu,nataka jumapili hii nimwambie twende kwao tukawatembelee wazazi na ndio hapo nitakapolilipua hili bomu.Nalog off

kama ana tabia nzuri mlete kwangu kaka,
 
Dah..kaka yangu umenisononesha sana,tena nimeumia sana,kwann ulimuoa,je kabla ya ndoa hujua hilo..?achana na vicheche vya nje..mpende mkeo kaka.
 
Habari zenu waheshimiwa,nimeamua kumrudisha mke wangu kwao.
Sababu kuu ya kufanya uamuzi huu ni kwamba mie ni mtu wa wanawake wengi nje,kula nyumbani ni kwa mbinde kulala nako kwa week naweza nikalala nyumbani mara moja na yeye kutonifanya chochote,namuonea huruma huyu binti wa watu,nataka nimrudishe kwao naona kama nambania kwa kuwa nami bora nimrudishe kwao anaweza akapata mume muadilifu atakayefanana naye tabia.
Ila mpaka sasa sijamwambia kitu,nataka jumapili hii nimwambie twende kwao tukawatembelee wazazi na ndio hapo nitakapolilipua hili bomu.Nalog off

uamuzi mzuri... usije ukamuambukiza ma ukimwi burree bora ukufe mwenyewe
 
Huko unakotaka kumpeleka sio KWAO, kwao ni hapo anapoishi sasa, sema unataka kumpeleka KWA WAZAZI WAKE. Kwani ame complain? Pengine hizo tabia zako ndo alizo kupendea usimkatili mtoto wa watu. Kama una hakika hazipendi kwa nini usibadilike.
Nina mpango wa kula raha/kujirusha kwa miaka miwili ijayo halafu ndio nitulie. Nalog off
 
Washawasha unamtafutia sababu tu my wife wako, Juzi ulisema unampango wa kumuacha ili ukimegewa isikuume, mie nikaahid kuwa kuwa Ntakumegea B4 Hujamtaliki my wife wako, Du umeniwahi kweli Kaka Washawasha------
PS: usipate tabu ya Kumpeleka kwao my wife wako kwao, we mlete kwangu, utakuwa umemsaidia sana (0799778890):lol:
Nimejitahidi kuipiga hii namba lakini inakataa au kama vipi iandike kwa herufi labda kuna sehemu umekosea. Nalog off
 
chamsingi wala usimpeleke kwao, mpe nauli pia ela ya kuanzia naomba namba yake ya simu ya mkononi tafadhali, kwani kuondoka kwako si mwisho wa maisha yake. we hujui kupenda, nenda uwe free ufanye ufuska naamini ni virusi tu ndo vitakurejeshea akili pia kukushikisha adabu yako.
Yeye hana Rununu bali anatumia simu ya ndani. Nalog off
 
Back
Top Bottom