dazu
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 365
- 76
Habari zenu waheshimiwa,nimeamua kumrudisha mke wangu kwao.
Sababu kuu ya kufanya uamuzi huu ni kwamba mie ni mtu wa wanawake wengi nje,kula nyumbani ni kwa mbinde kulala nako kwa week naweza nikalala nyumbani mara moja na yeye kutonifanya chochote,namuonea huruma huyu binti wa watu,nataka nimrudishe kwao naona kama nambania kwa kuwa nami bora nimrudishe kwao anaweza akapata mume muadilifu atakayefanana naye tabia.
Ila mpaka sasa sijamwambia kitu,nataka jumapili hii nimwambie twende kwao tukawatembelee wazazi na ndio hapo nitakapolilipua hili bomu.Nalog off
Huko unakotaka kumpeleka sio KWAO, kwao ni hapo anapoishi sasa, sema unataka kumpeleka KWA WAZAZI WAKE. Kwani ame complain? Pengine hizo tabia zako ndo alizo kupendea usimkatili mtoto wa watu. Kama una hakika hazipendi kwa nini usibadilike.