Princess21
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 272
- 266
- Thread starter
- #21
Ha ha ha! Ukisema unaambiwa unalalamika akati ukinyamaza hajui unamfanya BWEGENdo wanayoyapenda hayo huli mchicha alieununua unamjua??
Ha ha ha! Ukisema unaambiwa unalalamika akati ukinyamaza hajui unamfanya BWEGENdo wanayoyapenda hayo huli mchicha alieununua unamjua??
Yes, wadada wengi huwa wanawasitiri. Utakuta unajitumaaa kwelii aisee, kisha inafika siku unaskia kamzalisha denti wa primaryUmenena haswa ila kama hama pesa ni kumsalia nae aweze kuchuma akiwa mpenzi mwema na anakuheshimu n.k.
Tabu yao wengine hata wakiwa hawana pesa hawajui kumkamata mwanamke kwenye maisha ya mapenzi. Nao wamejaa tamaa na uongo mtupu...baada ya kuachika ndio wanakaa na kujuta na kulia moyoni hata neno hawawezi kutamka. Pole zao
Ahsante love i miss uHaya nimeelewa, all the best.
Nilikuwa na nia njema tu ya kujaza hiyo gap and give u the best experience kumbe tayari kumbe kuna mwana jf makini
Baby ndio umekuja kunianika huku, ndio mini sasaNampenda niliempata huku JF aisee ananijali kila eneo. Humu humu ndani kuna watu wanathamini sana watu. I love you darling
Ahsante love i miss u
Sweet wangu, ww ushajielewa na juzi umeniletee flat screen na Sabufa. I love u honeyBaby ndio umekuja kunianika huku, ndio mini sasa
Mfano nkakupa hela ukanunue all that still ntakua disqualified au shart lazma niwepo??Yaani fanya tu kama unalipia vitu chakavu. Usinipe cash twende shopping nunua ata viberiti, mafuta ya kujipaka vaseline, nunua ata gesi basi yaani uoneshe unajali kwa kiwango chako.
Ila sometimes heri kukaa kimya tu unamdere tu unamuona bonge la zombie hafai hata kwenye movieHa ha ha! Ukisema unaambiwa unalalamika akati ukinyamaza hajui unamfanya BWEGE
Acha ushamba we bibiAisee nampenda sana mwanaume anaependa kujiongeza, anakujali, anakuheshimu, anakupa pesa si kwa malipo ya ngono au starehe mliofanya BIG NO, anaona furaha ukivaa na kupendeza kwa kutumia pesa zake.
Lakini MWANAUME WA AINA HII APITE MBALI NA MIMI:
1. Anapiga simu, "Baby nimekumiss, naomba nije kwako nikusalimie" Akija mikono mitupu, atakuta maskini umepika, unampa ale, aoge, mtiane, akae kwenye tv aangalie mieleka.
2. Vocha natoa mimi
3. Kitanda changu, mashuka, mito n. k
4. Hajatoa pesa ya chakula, lakini anavojua kukandia"bby spendi mchicha, si ungepika samaki" Utadhani kachangia pesa
SHIDA NI HIVI!
1. Kitandani 0
2. Matumizi 0
3. Usafi wa mazingira 0
4. Usafi wa binafsi 0
SASA WA NINI HUYU MWANAUME? HERI KUWA MKOBOAJI KULIKO KUJIPENDEKEZA KWA MTU AMBAE NI MZIGO, UPO NAE SABABU ANA JINSIA YA KIUME TU.
Kuondoa dhana ya kunilipa, ni vyema ukanogesha mapenzi yetu wakati mwingine, sio lazima siku hiyo hiyo tuliofurahia vikojoleo kukutana kwa upendo ndio uninunulie vitu, no! Unaweza jipanga siku tofauti ukaniuliza honey utapenda mwezi huu tuongeze nini hapa ndani kwako, au unapenda tubadilishe nini? About finance i will support you my love!!!Mfano nkakupa hela ukanunue all that still ntakua disqualified au shart lazma niwepo??
UMELAZIMISHWA KUSOMA BABU???Acha ushamba we bibi
Love too my darlingNampenda niliempata huku JF aisee ananijali kila eneo. Humu humu ndani kuna watu wanathamini sana watu. I love you darling
Down utapewa issue ni kujiongeza tu sio unakaukaaaaHakuna mwanaume boya sasa hivi anakupa hela bila kumpa down kwanza........
Ha ha ha ha hapo tu ndio tunapowapendea wenzetu dah linapokuja swal la finance mnakua na maneno mazur sana.... "et kitu gan tuongeze mpz Wangu" nmecheka sanaKuondoa dhana ya kunilipa, ni vyema ukanogesha mapenzi yetu wakati mwingine, sio lazima siku hiyo hiyo tuliofurahia vikojoleo kukutana kwa upendo ndio uninunulie vitu, no! Unaweza jipanga siku tofauti ukaniuliza honey utapenda mwezi huu tuongeze nini hapa ndani kwako, au unapenda tubadilishe nini? About finance i will support you my love!!!
Ha ha ha ha hapo tu ndio tunapowapendea wenzetu dah linapokuja swal la finance mnakua na maneno mazur sana.... "et kitu gan tuongeze mpz Wangu" nmecheka sana but sio mbaya kila mtu ana mtizamo wake.....Kuondoa dhana ya kunilipa, ni vyema ukanogesha mapenzi yetu wakati mwingine, sio lazima siku hiyo hiyo tuliofurahia vikojoleo kukutana kwa upendo ndio uninunulie vitu, no! Unaweza jipanga siku tofauti ukaniuliza honey utapenda mwezi huu tuongeze nini hapa ndani kwako, au unapenda tubadilishe nini? About finance i will support you my love!!!