KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Kwa hiyo ile yetu ni ya Kichina au?
Kwa hiyo ile yetu ni ya Kichina au?
Dah..usiumie peke yako...Ondoka na simu na simu yake...Kisha mpigie mama yake mwambie mtoto wake wa kiume amefariki...ili naye aumie kidogo kwa kutomlea mwanaye kwa maadili----by R MUGABE😀😀😀😀Mume Anitaki Tena Baada Yakupata Hawara Nifanyeje, Tumeoana miaka 4 Sasa,tuna Mtoto Mmoja Nanina Mimba Tena Hanijali, Hanipi Haki Yandoa Miez Miwili Sasa, Ananidharirisha Wamarafikize, Nakunisemea Uongo Kwawazaz Wake Ili Apate Sababu Japo Wakwe Wananijua Vizuri Kitabia, Nawanampinga Maana Wanamjua Tabia Yake