Nampenda mpenzi wangu ila ni chibonge

Nampenda mpenzi wangu ila ni chibonge

Kama mmeunganishwa na kusudi ,yaani kuna mambo hayapo katika uhalisia lakini yeye anayona sawa na wewe unavyoona

Anza naye joging kidogo kidogo na umuhamasishe kwa kufanya nae pamoja kwa upendo
 
Dah inamaana ulivokua namtongoza ulikua huoni kama ni kibonge? Muache atapata atapenda na ukibonge wake usitafute excuse ya kuja kumtesa mbeleni, katafute flat tummy huko wapo kibao 😒😒


Umetukosea sana vibonge
 
Majungu haya,,, nimekimbilia kuangalia picha hadi mwisho holaaa hakuna. Au ulevi tu wa pilau la Ramadhani!!
 
Dah inamaana ulivokua namtongoza ulikua huoni kama ni kibonge? Muache atapata atapenda na ukibonge wake usitafute excuse ya kuja kumtesa mbeleni, katafute flat tummy huko wapo kibao


Umetukosea sana vibonge
Nampenda niushauri tu , huwezi mpenda au kumkataa mtu kwa sababu ya umbo hv vinabadilika .
 
Ukipenda boga penda na ua lake, sio unamuoa ndio unaanza kumwambia afanye diet. Kama haupo comfortable na mtu mnene tafuta vimbau mbau wapo tele. Kuliko ukaanza kumsumbua na diet

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hakuna aliyekamilika , kunavitu vinavumilika , ata hiki sio tatizo, nilikuwa nataka ushauri tu juu ya diet na mazoez na jinsi ya kumwambia.
 
Back
Top Bottom