chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 338
Sio kweli ....mke mwenye kujielewa alipaswa kutafuta mbinu yakumleta mme wake karibu.....hata ingekua mm kama kila nikirudi home mke hana bashasha na mm ndo kwanza ananiletea matatizo mengi na stress kibao nakaaje home sasa sibora nichelewe tu huko job au nipigie bar nipige Vyombo home nageuka usiku tuHahahaaa!!!!
Karibu uununue,lakini ukumbuke kuwa shemeji analalamikia jamaa yangu kuwa so mtu wa kumjali,wala hampi attention mke wake,na hicho ndicho kilichopelekea mke kunisaliti mumewe!
Hapo huoni kuwa jamaa naye amechangia kufanya mke asaliti ndoa!??
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app