umukagame
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,044
- 675
heshima yenu wakuu
mie toka nijiunge humu siyo mtu wa kufatilia life ya mtu wala sipend kujuana juana sana
ila huyu dada miss chagga mie namzimia mbayaa naomba kama hajaolewa anambie nna kaka yangu husband material angefaa sana kuwa wifi yangu nataka nimpeleke kigali!
af mjue ni nini kuna wadada wanajikuta wasafi sana kumbe machangudoa tu, hawana uzuri wala hawajiheshim hata kidg lkn kwa post zao aaaaaah ni malaika!siye kina umu maneno meng meng twaonekana vicheche hahahah
mimi nipo kama nilivyo na ukinchukulia poa me nakuona hamna tu, usimjudge mtu kwa anachokiandika humu
we ar here just kurefresh na kufanya siku iishe n siyo kila tunachokiandika humu ni realty
mpo apo??
mie toka nijiunge humu siyo mtu wa kufatilia life ya mtu wala sipend kujuana juana sana
ila huyu dada miss chagga mie namzimia mbayaa naomba kama hajaolewa anambie nna kaka yangu husband material angefaa sana kuwa wifi yangu nataka nimpeleke kigali!
af mjue ni nini kuna wadada wanajikuta wasafi sana kumbe machangudoa tu, hawana uzuri wala hawajiheshim hata kidg lkn kwa post zao aaaaaah ni malaika!siye kina umu maneno meng meng twaonekana vicheche hahahah
mimi nipo kama nilivyo na ukinchukulia poa me nakuona hamna tu, usimjudge mtu kwa anachokiandika humu
we ar here just kurefresh na kufanya siku iishe n siyo kila tunachokiandika humu ni realty
mpo apo??