Nampenda miss chagga

Nampenda miss chagga

umukagame

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
1,044
Reaction score
675
heshima yenu wakuu

mie toka nijiunge humu siyo mtu wa kufatilia life ya mtu wala sipend kujuana juana sana
ila huyu dada miss chagga mie namzimia mbayaa naomba kama hajaolewa anambie nna kaka yangu husband material angefaa sana kuwa wifi yangu nataka nimpeleke kigali!

af mjue ni nini kuna wadada wanajikuta wasafi sana kumbe machangudoa tu, hawana uzuri wala hawajiheshim hata kidg lkn kwa post zao aaaaaah ni malaika!siye kina umu maneno meng meng twaonekana vicheche hahahah

mimi nipo kama nilivyo na ukinchukulia poa me nakuona hamna tu, usimjudge mtu kwa anachokiandika humu
we ar here just kurefresh na kufanya siku iishe n siyo kila tunachokiandika humu ni realty
mpo apo??
 
Ingawa mi mpita njia lakini naona kila dalili za kumpinga Museveni na msimamo wake mkali dhidi ya mapenzi ya jinsia moja. Nimepita shaaaaaaaa
 
heshima yenu wakuu

mie toka nijiunge humu siyo mtu wa kufatilia life ya mtu wala sipend kujuana juana sana
ila huyu dada miss chagga mie namzimia mbayaa naomba kama hajaolewa anambie nna kaka yangu husband material angefaa sana kuwa wifi yangu nataka nimpeleke kigali!

af mjue ni nini kuna wadada wanajikuta wasafi sana kumbe machangudoa tu, hawana uzuri wala hawajiheshim hata kidg lkn kwa post zao aaaaaah ni malaika!siye kina umu maneno meng meng twaonekana vicheche hahahah

mimi nipo kama nilivyo na ukinchukulia poa me nakuona hamna tu, usimjudge mtu kwa anachokiandika humu
we ar here just kurefresh na kufanya siku iishe n siyo kila tunachokiandika humu ni realty
mpo apo??
Mimi nakutaka wewe, kama vipi niambie nije PM tuweke mambo sawa. mia
 
Haya sasa kojoleo ya miss hiyooo inaenda kwa kaka yake mtu
 
asante mamy nakupenda pia usijali maneno ya watu mimi nimekuelewa kabisa... njoo unipe detail za kaka yako .umukagame siyo kila mtu atakuelewa usijali kipenzi changu
Akija mwambie namtaka. Usisahau kunisifia sifia kidogo ili nimpate kiulaini. Nampenda sna umukagame wangu. mia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom