kazi ni kazi na mapenzi ni mapenzi, me najijua ni changamotto gani nimepitia hadi kufika hapa nilipo sasa, sizani kama naweza kuna zumbu kuku kiasi hicho!!Aiseee chapa kaz chalii angu, siku unagonga asbui yake anakupigia "sweety mtumie m3 ile naomba natumaga sn ela ako nakuja mda sio mlefu" Akikufata utaniambia na apo ndo unahamisha kijiwe
kuhonga si dhambi sawa, ila honga kwa wastani wa 1/100 ya kipato chako, ukiwa na M.1 toa elfu 10 kwa mpenzio. haidhuru sana!!Sasa atafirisiwa halafu aje kulaumu humu. Mwanamke pesa kwanza hayo mengine mbwembwe tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
madem ni adimu siku hiziKuwa mjanja, akiwa kauzu na ww vunga hvy hvyo. Ukimuongelesha, kuwa kaksi usijikune au kupepesa macho. Jarb kabsa, madem ni adimu siku hizi
mwanamke ni sawa na maji hufuata mkondo unavyoelekea, sizan kama me nikim- trit kuwa pesa ntakuw nampatia na kias flan na kwa mda flan sizan kama atazingua!!Siidharau......lkn kutuliza iyo manzi kwa biashara ya mpesa sahau
Tena kaa mbali mana utarudi kijijini achana na vyura hawa
ni sawa lkn, huoni kama ntaidhurumu nafsi yangu kama nikifanya hivyo!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
mwanamke ni sawa na maji hufuata mkondo unavyoelekea, sizan kama me nikim- trit kuwa pesa ntakuw nampatia na kias flan na kwa mda flan sizan kama atazingua!!
Sent using Jamii Forums mobile app
me ntajitahid kushilia jahazi lisipelekwe na pepo!!Ndiyo maana nikakwambia, ulishaweka malengo na maamuzi tayari, hata ukishauriwa hutasikiliza...
Ila nakukumbusha tu, ukifanikiwa kumpata utaporomoka kiuchumi: you are not stable yet.
Ukimkosa pia utaporomoka kiuchumi, hatakuwa mteja wako tena.
The only way ya wewe kuendelea kuwa katika level nzuri kiuchumi ni kuachana na hilo wazo. Mfanye kuwa rafiki, kuna mdau alishauri issue za pipi, chocolate, biscuits, hiyo ni njia nzuri ya kuendelea kuwa na mahusiano mazuri kibiashara.
Hata hivyo wewe ndiye mwamuzi wa mwisho, unajua nini nafsi yako inataka.
daah, kaka asante kwa ushaur wako, ila ntajitahd kulitazama hili kwa sura nyingine..Shida yako wewe ni mgeni kwenye haya mambo, na anataka kuanza kucheza ligi kuu wakati daraja la nne, tatu, na mbili hujacheza.
daah, kaka asante kwa ushaur wako, ila ntajitahd kulitazama hili kwa sura nyingine..
Sent using Jamii Forums mobile app
fanya hiv kila akija mnunulie juis ya embe ya 5000, mwambie apokee tuu umefurahishwa na undugu mlio ujenga, yeye n binadamu atakuingiza tu akilin mwake,
Sent using Jamii Forums mobile app
karibu sana kaka, nathamin ushauri wakoNikipata muda jioni nitarudi kwenye huu Uzi, kuna vitu vingi vya kujadili.
niamin mm kwakuwa ana visent, n dhahir wanao mzunguka wanamnyemelea visent vyake tuu, ko fanya kama unachota maji na kuweka baharin hivi, utajionea maajabu!!,
me naamin mapenzi hayana formula unaweza panga hili lkn yakawa vile!!niamin mm kwakuwa ana visent, n dhahir wanao mzunguka wanamnyemelea visent vyake tuu, ko fanya kama unachota maji na kuweka baharin hivi, utajionea maajabu!!,
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae ndugu watoto wazuri watafutie hela kwanza, bila pesa ni sawa na kumeza moto.kuhonga si dhambi sawa, ila honga kwa wastani wa 1/100 ya kipato chako, ukiwa na M.1 toa elfu 10 kwa mpenzio. haidhuru sana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hv hao watoto wazuri tukiwaachia ni nan atawamiliki!!?Achana nae ndugu watoto wazuri watafutie hela kwanza, bila pesa ni sawa na kumeza moto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jua kucheza na akili za mwanamkenaamin nitaweza, saiz nina 20% bado nakomaa na 80% zilizobakia kumnasa bi dada wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app