Zama hizi unachanganya kazi na mapenzi, tena umekiri kuwa hakuna biashara kwa sasa, na huyu ni mteja wako mkubwa sana..
Ukija kufilisika usitulaumu mkuu.
Usiharibu ofisi yako mkuu, tafuta pesa. Mwanamke wa mapenzi tafuta huko mbali na ofisi yako, unaweza kupoteza mteja ambaye anakupa kula yako ya kila siku...
Urafiki wa kawaida, mualike tu kwenye sherehe kadha wa kadha, mualike pia kutoka out ww, yeye na marafiki zako hata na marafiki zake pia. Kabla ya apo wapaswa kua na mawasaliano nae kwa ukaribu. Kufanikisha hilo lazma uwe systematic, honest and very smart guy physically and mentally a guy with a future. Baadae sasa mualike kutoka out wawili, out ya wawili at 1st time dont speak out anything. Atavutiwa na lazma. Next time mtoe out na kumla tu kiulain. Over,
Hamna demu ambaye akizingua atanicost. In short siwezagi kukaa na kitu.ushawahi kutongoza dem ambae kwa namna moja ama nyingine kama akizingua itaku- cost!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
hii inaitwa kufa na kufaana, bandika bandua aseeeUrafiki wa kawaida, mualike tu kwenye sherehe kadha wa kadha, mualike pia kutoka out ww, yeye na marafiki zako hata na marafiki zake pia. Kabla ya apo wapaswa kua na mawasaliano nae kwa ukaribu. Kufanikisha hilo lazma uwe systematic, honest and very smart guy physically and mentally a guy with a future. Baadae sasa mualike kutoka out wawili, out ya wawili at 1st time dont speak out anything. Atavutiwa na lazma. Next time mtoe out na kumla tu kiulain. Over,
Hii itategmea na yy alvo na mazngra aliyokulia. Kama ni mlokole nenda nae kilokole, kam ustadhat QUID PRO QUO, TIT FOR TAT
sasa unatakiwa ujue kuwa kuna kuongea na kukubaliwa, sasa usipoangalia unaweza kuongea arafu usikubaliwe.. hapo utakuwa umefadika nini sasa!!?Hamna demu ambaye akizingua atanicost. In short siwezagi kukaa na kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa unatakiwa ujue kuwa kuna kuongea na kukubaliwa, sasa usipoangalia unaweza kuongea arafu usikubaliwe.. hapo utakuwa umefadika nini sasa!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
awe ana mtu au awe hana me hainihusu, nakomaa nae hivyo hivyo mkuu!!Ukigundua ana mtu achana nae, ila kama yupo mwenyewe anza kuwa karibu, msogeze taratibu usikurupuke...
Sent using Jamii Forums mobile app
na lile la kupoteza mteja nalo pia umesahau kuwa ni jambo jingine la tatu!!?Duh. Sasa kwani unapotongoza si kuna mbo ma2 mkuu. Kama usipokubaliwa basi kukataliwa. Hamana majinu matatu au moja ni ma2 tu mkuu tegemea moja wapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana nakuona ulivodhamiria kumfua huyo mremboyaani ni hivi akinyanyuka tu huyo alie nae me nakalia bench lazima nilete mrejesho na ikibidi siku moja atakuja humu kuwasabahi wana JF kwa support yenu kama nikifanikiwa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Fala kweli wewe.. Wewe upo kwenye banda lako la m/pesa umejuaje kuwa anajielewa au hana muda na watu! Sema na muda wewe, akifika kwenye kibanda chako anaweka hela au kutoa na kusepa.. Ana muda sana na hao wanaompa hela.. Ngedere kweli wewe, mwelezi hisia zako, kama na hivyo vikamisheni unavyopewa huko voda au tigo havijayeyuka..habari wa JF,
kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema kuna dada mmoja kwa jina Nancy, ni mteja wangu wa nguvu ktk huduma za simu pesa(miamala). Kila siku lazima aje aweke/kutoa/kutuma si chini ya mil.3 hadi 5. sasa basi kutokana na jinsi alivyoumbika, rangi yake, sauti yake na jinsi alivyo mkarimu kiukweli nimempenda na naitaji awe wifi/shemeji yenu.
Lakini ninachohofia ni kuwa endapo nitamuelezea hisia zangu huenda atasusa kuja tena kunichangia miamala, ama akanichukulia kama mtu ninayetumia kazi yangu kujinufaisha/kuwarubuni wadada. Kiukweli ni mdada anaejielewa kaenda hewani, hana mda na watu yaani yupo busy na mambo yake.
Tangu nimejitambua sijawahi kumwogopa wala kuwa domo zege kwa mdada yeyote ila kwa huyu dada sijui tuu nimekuwaje.. ila hofu yangu kubwa ni kupoteza mteja ambae mchango wake ktk biashara yangu ni mkubwa mno..
Ushauri jamani kipi nifanye kwa huyu bi dada, nijitose tu liwalo na liwe ama nijizuie ili nisipoteze uteja nae??
Sent using Jamii Forums mobile app
namba wanachukua kijanja mkuu we tumia akilikingine nahofu ya kumwomba no, nahisi kwamba ataaniuliza nataka ya nini..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hv kweliUsichanganye kazi na mapenzi, utapoteza wateja...
Usiwe kama barmaid kutamani wateja wake...
Cc: mahondaw
nani sitamuangusha, hata dk1Ila nikutie tu moyo, utafanikiwa hawa viumbe wana uluma sanaaa, jiandae tu outing za hapa na pale,,
Sent using Jamii Forums mobile app