Nampenda lakini nahofia atanichukuliaje?

kama yapi, nipe mf..?

Sent using Jamii Forums mobile app
Urafiki wa kawaida, mualike tu kwenye sherehe kadha wa kadha, mualike pia kutoka out ww, yeye na marafiki zako hata na marafiki zake pia. Kabla ya apo wapaswa kua na mawasaliano nae kwa ukaribu. Kufanikisha hilo lazma uwe systematic, honest and very smart guy physically and mentally a guy with a future. Baadae sasa mualike kutoka out wawili, out ya wawili at 1st time dont speak out anything. Atavutiwa na lazma. Next time mtoe out na kumla tu kiulain. Over,
Hii itategmea na yy alvo na mazngra aliyokulia. Kama ni mlokole nenda nae kilokole, kam ustadhat QUID PRO QUO, TIT FOR TAT
 
hii inaitwa kufa na kufaana, bandika bandua aseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fala kweli wewe.. Wewe upo kwenye banda lako la m/pesa umejuaje kuwa anajielewa au hana muda na watu! Sema na muda wewe, akifika kwenye kibanda chako anaweka hela au kutoa na kusepa.. Ana muda sana na hao wanaompa hela.. Ngedere kweli wewe, mwelezi hisia zako, kama na hivyo vikamisheni unavyopewa huko voda au tigo havijayeyuka..

fanya kazi mdogo wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…