Nampenda lakini meseji zake za mkato

Nampenda lakini meseji zake za mkato

properties

Member
Joined
Jun 3, 2016
Posts
59
Reaction score
57
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae, sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali.

Sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.

Alafu meseji hujibu baada ya hata lisaa lizima au zaidi. Nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati lakini imefika saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20.Sasa mimi nikamuuliza kulikoni ama una usingizi? Kanijibu ndio kwa kifupi baadae mimi nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia.

Sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yake ikawa busy anaongea, nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.

Wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada?

Lakini nampenda sana.
 
Aisee umenkumbusha, yalinikuta hayohayo ndugu yangu!... nlichojua baadaye kumbe alitaka tuachane ila hakuweza kusema.. mchunguze mkuu huenda ndo walewale kama wangu.

Mimi nlipojua hilo skuwa na shida nami nkakata mawasiliano nae pia hakunitafuta. Viumbe hawaa..!
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali....sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu....na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.....afu meseji hujibu naada ya hata lisaa lizima au zaidi....nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati kakini imefija saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20....sasa mimi nikamuuliza kulikoni? Ama una usingizi kanijibu ndio kwa kifupi baadae mim nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia....sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yakw ikawa busy anaongea .....nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.....wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada....lakin nampenda sana.
Kha!kaka usawa huu unataka kuoa demu bila kumtumbua?!itakula kwako mazima?!
 
Jibu rahisi Maongezi yako sio maongezi anayoyapenda, Ana kujibu kishort anaonesha hakutaki tena ila anajua utaelewa mwenyewe ukifika muda. Piga moyo konde muulize anaonaje juu ya mahusiano yenu yanaweza kufika mbali au yapo mafupi? Jibu atakalokupa chukuwa hilo hilo kama zuri au baya.
Ngoja nikupe story leo rafiki yangu alinipa kuna jamaa ana mchumba wake yupo Tz na jamaa yupo Canada sasa jamaa anaongea na demu wake kumbe demu yupo na dume mwengine hii story anahadisia rafiki yangu ambaye yeye mwenyewe kamgegeda huyo demu. Sasa sijui hio picha isije ikawa kama yako.
 
Uzuri wa mapenzi ni kwamba unaanza kuzihisi dalili tu kwamba daah huyu kutakua na mtu ana mkeep busy tu...kwa kifupi ndugu hapo hakuna kitu...
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali....sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu....na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.....afu meseji hujibu naada ya hata lisaa lizima au zaidi....nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati kakini imefija saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20....sasa mimi nikamuuliza kulikoni? Ama una usingizi kanijibu ndio kwa kifupi baadae mim nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia....sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yakw ikawa busy anaongea .....nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.....wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada....lakin nampenda sana.
kazi ya moyo kusukuma damu hayo mengine unayotafuta ni kihere here teh teh
 
hongera kwa kushinda dhambi ya uasherati pia watoto wa kike wana mambo mengi sana kama unampenda usimfutia kila hatua utaumia bure ladba ni kweli au pia si kweli mambo huwa yanajifunua yenyewe cha msingi ni kuandaa moyo na akili usimpende saaana ..na usiweke malengo 100% kuachana ni jambo la mwisho kabisa sababu wanawake huwa wanafanana unaweza ruka mkojo ukaangukia m**i
 
Jipange baba,
Kwa jinsi mademu wa siku iz wanavozitafuta ndoa...! Mkuu huyo demu hakutaki , chukua 50 zako ,
Labda cha kukusaidia ni kwamba , wewe niPm namba yake alaf nitajarib kuongea nae kuhusu suala lako.. Naamin ataelewa tu.. Fanya hima nipate hiyo namba
 
Demu wa dizaini hyooo sku ukimpata ni kumfumua na kumwaga hpo hpo...hata hela ya nauli hapewi
 
Ukiona kakaa kimya na ww kaa kimya tuone nani mshindi huku unasaka taratibu mke mtarajiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom