Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,882
huyu jamaa nadhani hamjamuelewa, anataka tumfundishe KUTONGOZA, khaaaaaa!!! inshort ni domo zito km mercury, haya mtambuzi na mzizi mkavu mtengenezeeni desa alimeze, . how comes umependa mtu kwa dhati halafu unagwaya kumwambia, wewe mtaftie pozi umemwambie kinacokusibu, yani just jifunge bomu ujilipue alaaaa... tena hako kamchezo ka sms katakuumbua mana kwa kitete baada ya kumwandikia GOOD MORNING, unaweza kumwambia SHIKAMOO!!!Haaaaahahaaaaaaaa...mueleze kwepe physically baba, kohoa mkuuuuuuuuu unaogopa nini? shauri yako kuna siku atakuita DADY nadhan hapo ndo kichwa kitakupasuka