chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 986
- 1,996
Kwema,
Kuna binti nimemuelewa hapa mtaani nikamwambia aje sehemu fulani Kuna mzigo nataka nimpe. Kweli akaja ila kwa kuwa huo mzigo sikuwa nao ikabidi nimdanganye mzigo haujafika ila naona akawa ameelewa namtaka. Sasa tokea hapo Kila nikamwambia aje tena anasema sawa ila haji, ila tukikutana njiani tunasalimiana na kupiga stori mbili tatu, nikimbia aje anasema sawa ila haji. Sasa wakuu naona nipige chini au nipeni mbinu nyinginezo.
Kuna binti nimemuelewa hapa mtaani nikamwambia aje sehemu fulani Kuna mzigo nataka nimpe. Kweli akaja ila kwa kuwa huo mzigo sikuwa nao ikabidi nimdanganye mzigo haujafika ila naona akawa ameelewa namtaka. Sasa tokea hapo Kila nikamwambia aje tena anasema sawa ila haji, ila tukikutana njiani tunasalimiana na kupiga stori mbili tatu, nikimbia aje anasema sawa ila haji. Sasa wakuu naona nipige chini au nipeni mbinu nyinginezo.