kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,123
- 24,401
Binafsi nakupongeza sana kwa kutengeneza wapinzani milioni 60
Hii inaonesha ni jinsi unavyokaribia kusambaratika kabisa
Wenzako walikua na akili, walihakikisha wanakua na wapinzani wa chama cha siasa tu, lakini wewe kwa ulivyokubuhu na usivyosikia vya junguni wala pangoni sahizi unao watu milioni 60 wanaokupinga
Huna raha mwenyewe huna amani, hadi nuru imetoweka, Unaishi kwa hofu kama Digidigi ukimuogopa kila mtu, wanaokuzunguka wanashangaa ulivyobadilika hadi unachokula na unachokunywa.
Ulidhani ulivyozihukumu roho zaidi ya elfu 13 utabaki salama na utakua na amani?Pole yako umeingia cha kike safari hii unavyopenda safari sijui utasafiri uwende wapi maana kila pahala mlango umefungwa labda uzunguke hapahapa kama "Ndera"
Kishakuramba huna nuru, huna jipya, umebaki kutoa milio tu, bomu uloliandaa linakaribia kukulipukia mwenyewe utakua mgeni wa nani mwanetu?
Kwasasa hata machaguo ya kubadilisha hali huna,nani atayasadiki machaguo yako?La hasha unaishi kama Digidigi kuliko hata hao wanaokukosoa ulowasukumia magerezani na kwenye mahabusu haya si ulipata karibia 100 wewe mbona huna raha?Mbona unaishi kama digidigi?.
Wala msihofu wanetu huyu jambo lake limeisha, amekwisha hana nyimbo, Utawala wa mfa maji huu, kuna mwingine katokezea humo anajidai kuwakaanga mbuyu cnn, dw, bbc, na aljazeera kwamba vyombo hivo vyote vilikosea?Kwamba vyote vinawasingizia?Kila mtu akunyooshee kidole tu?
Mwacheni azame mwenyewe musikubali kile kilemba cha ukoka kiitwacho "Maridhiano" mtakua mmesaidia kuchelewa kuzama majini mfamaji huyu.
Pole sana wakwetu, Ukwezi mazoea humuangusha mkwezi, utavuna ulichopanda kipenga cha kuhesabu saa na dakika za anguko lako (Countdowns) kimeanza rasmi

تمام
Hii inaonesha ni jinsi unavyokaribia kusambaratika kabisa
Wenzako walikua na akili, walihakikisha wanakua na wapinzani wa chama cha siasa tu, lakini wewe kwa ulivyokubuhu na usivyosikia vya junguni wala pangoni sahizi unao watu milioni 60 wanaokupinga
Huna raha mwenyewe huna amani, hadi nuru imetoweka, Unaishi kwa hofu kama Digidigi ukimuogopa kila mtu, wanaokuzunguka wanashangaa ulivyobadilika hadi unachokula na unachokunywa.
Ulidhani ulivyozihukumu roho zaidi ya elfu 13 utabaki salama na utakua na amani?Pole yako umeingia cha kike safari hii unavyopenda safari sijui utasafiri uwende wapi maana kila pahala mlango umefungwa labda uzunguke hapahapa kama "Ndera"
Kishakuramba huna nuru, huna jipya, umebaki kutoa milio tu, bomu uloliandaa linakaribia kukulipukia mwenyewe utakua mgeni wa nani mwanetu?
Kwasasa hata machaguo ya kubadilisha hali huna,nani atayasadiki machaguo yako?La hasha unaishi kama Digidigi kuliko hata hao wanaokukosoa ulowasukumia magerezani na kwenye mahabusu haya si ulipata karibia 100 wewe mbona huna raha?Mbona unaishi kama digidigi?.
Wala msihofu wanetu huyu jambo lake limeisha, amekwisha hana nyimbo, Utawala wa mfa maji huu, kuna mwingine katokezea humo anajidai kuwakaanga mbuyu cnn, dw, bbc, na aljazeera kwamba vyombo hivo vyote vilikosea?Kwamba vyote vinawasingizia?Kila mtu akunyooshee kidole tu?
Mwacheni azame mwenyewe musikubali kile kilemba cha ukoka kiitwacho "Maridhiano" mtakua mmesaidia kuchelewa kuzama majini mfamaji huyu.
Pole sana wakwetu, Ukwezi mazoea humuangusha mkwezi, utavuna ulichopanda kipenga cha kuhesabu saa na dakika za anguko lako (Countdowns) kimeanza rasmi

تمام