Nampa pole, utawala wake unakaribia kuanguka

Nampa pole, utawala wake unakaribia kuanguka

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,123
Reaction score
24,401
Binafsi nakupongeza sana kwa kutengeneza wapinzani milioni 60

Hii inaonesha ni jinsi unavyokaribia kusambaratika kabisa

Wenzako walikua na akili, walihakikisha wanakua na wapinzani wa chama cha siasa tu, lakini wewe kwa ulivyokubuhu na usivyosikia vya junguni wala pangoni sahizi unao watu milioni 60 wanaokupinga

Huna raha mwenyewe huna amani, hadi nuru imetoweka, Unaishi kwa hofu kama Digidigi ukimuogopa kila mtu, wanaokuzunguka wanashangaa ulivyobadilika hadi unachokula na unachokunywa.

Ulidhani ulivyozihukumu roho zaidi ya elfu 13 utabaki salama na utakua na amani?Pole yako umeingia cha kike safari hii unavyopenda safari sijui utasafiri uwende wapi maana kila pahala mlango umefungwa labda uzunguke hapahapa kama "Ndera"

Kishakuramba huna nuru, huna jipya, umebaki kutoa milio tu, bomu uloliandaa linakaribia kukulipukia mwenyewe utakua mgeni wa nani mwanetu?

Kwasasa hata machaguo ya kubadilisha hali huna,nani atayasadiki machaguo yako?La hasha unaishi kama Digidigi kuliko hata hao wanaokukosoa ulowasukumia magerezani na kwenye mahabusu haya si ulipata karibia 100 wewe mbona huna raha?Mbona unaishi kama digidigi?.

Wala msihofu wanetu huyu jambo lake limeisha, amekwisha hana nyimbo, Utawala wa mfa maji huu, kuna mwingine katokezea humo anajidai kuwakaanga mbuyu cnn, dw, bbc, na aljazeera kwamba vyombo hivo vyote vilikosea?Kwamba vyote vinawasingizia?Kila mtu akunyooshee kidole tu?

Mwacheni azame mwenyewe musikubali kile kilemba cha ukoka kiitwacho "Maridhiano" mtakua mmesaidia kuchelewa kuzama majini mfamaji huyu.

Pole sana wakwetu, Ukwezi mazoea humuangusha mkwezi, utavuna ulichopanda kipenga cha kuhesabu saa na dakika za anguko lako (Countdowns) kimeanza rasmi
تمام

20251119_100419.jpg
 
Binafsi nakupongeza sana kwa kutengeneza wapinzani milioni 60

Hii inaonesha ni jinsi unavyokaribia kusambaratika kabisa

Wenzako walikua na akili, walihakikisha wanakua na wapinzani wa chama cha siasa tu, lakini wewe kwa ulivyokubuhu na usivyosikia vya junguni wala pangoni sahizi unao watu milioni 60 wanaokupinga

Huna raha mwenyewe huna amani, hadi nuru imetoweka, Unaishi kwa hofu kama Digidigi ukimuogopa kila mtu, wanaokuzunguka wanashangaa ulivyobadilika hadi unachokula na unachokunywa.

Ulidhani ulivyozihukumu roho zaidi ya elfu 13 utabaki salama na utakua na amani?Pole yako umeingia cha kike safari hii unavyopenda safari sijui utasafiri uwende wapi maana kila pahala mlango umefungwa labda uzunguke hapahapa kama "Ndera"

Kishakuramba huna nuru, huna jipya, umebaki kutoa milio tu, bomu uloliandaa linakaribia kukulipukia mwenyewe utakua mgeni wa nani mwanetu?

Kwasasa hata machaguo ya kubadilisha hali huna,nani atayasadiki machaguo yako?La hasha unaishi kama Digidigi kuliko hata hao wanaokukosoa ulowasukumia magerezani na kwenye mahabusu haya si ulipata karibia 100 wewe mbona huna raha?Mbona unaishi kama digidigi?.

Wala msihofu wanetu huyu jambo lake limeisha, amekwisha hana nyimbo, Utawala wa mfa maji huu, kuna mwingine katokezea humo anajidai kuwakaanga mbuyu cnn, dw, bbc, na aljazeera kwamba vyombo hivo vyote vilikosea?Kwamba vyote vinawasingizia?Kila mtu akunyooshee kidole tu?

Mwacheni azame mwenyewe musikubali kile kilemba cha ukoka kiitwacho "Maridhiano" mtakua mmesaidia kuchelewa kuzama majini mfamaji huyu.

Pole sana wakwetu, Ukwezi mazoea humuangusha mkwezi, utavuna ulichopanda kipenga cha kuhesabu saa na dakika za anguko lako (Countdowns) kimeanza rasmi
تمام

View attachment 3506322
naona hadi ZZK kastukia meli inayozama kwa kasi ya TITANIC
 
Kuna watu hawana aibu wala kuheshimu maoni wa watu. Ingekuwa ni mimi ningeshajiuzuru na kukabidhi kiti.

Pili, huyu mtu kawaangusha Wanawake wenzake. Alipaswa aonyeshe uwezo na utu ili awafanye Wanawake Waziri kuaminiwa kwenye nafasi kama hiyo. Ila sasa amefanya kinyume chake.
 
Kuna watu hawana aibu wala kuheshimu maoni wa watu. Ingekuwa ni mimi ningeshajiuzuru na kukabidhi kiti.

Pili, huyu mtu kawaangusha Wanawake wenzake. Alipaswa aonyeshe uwezo na utu ili awafanye Wanawake Waziri kuaminiwa kwenye nafasi kama hiyo. Ila sasa amefanya kinyume chake.
Unampa nchi mwanamke wa kutoka zanzibar ,hapa kuna la kujifunza kuhusu hawa viumbe
 
Kuna watu hawana aibu wala kuheshimu maoni wa watu. Ingekuwa ni mimi ningeshajiuzuru na kukabidhi kiti.

Pili, huyu mtu kawaangusha Wanawake wenzake. Alipaswa aonyeshe uwezo na utu ili awafanye Wanawake Waziri kuaminiwa kwenye nafasi kama hiyo. Ila sasa amefanya kinyume chake.
Huyu elimubyake kiduchu mno ndio shida ya yote haya,tamaa pia
 
Kuna watu hawana aibu wala kuheshimu maoni wa watu. Ingekuwa ni mimi ningeshajiuzuru na kukabidhi kiti.

Pili, huyu mtu kawaangusha Wanawake wenzake. Alipaswa aonyeshe uwezo na utu ili awafanye Wanawake Waziri kuaminiwa kwenye nafasi kama hiyo. Ila sasa amefanya kinyume chake.
Kabisa yaani tunaongozwa na jitu la hovyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom