Habari wanaforum,
Ningependa na nitafurahi kupata maelezo, njia na namna ya kuwa wakili (Procedures) baada ya kupata degree ya sheria. naamini katika forum hii pia wapo watua mabo wanaweza saidia kutoa mwelekeo na mwongozo wa namna mtu anaweza kuwa wakili hapa tanzania hasa ukuzingatia uanzishwaji wa school of law inanichanganya sana.
Ningependa na nitafurahi kupata maelezo, njia na namna ya kuwa wakili (Procedures) baada ya kupata degree ya sheria. naamini katika forum hii pia wapo watua mabo wanaweza saidia kutoa mwelekeo na mwongozo wa namna mtu anaweza kuwa wakili hapa tanzania hasa ukuzingatia uanzishwaji wa school of law inanichanganya sana.