Superbrand
JF-Expert Member
- Apr 6, 2013
- 509
- 158
Kwa hyo bro huhitaj kuunganisha kebo
si ununue modem mkuu upate internet ya uhakika kuliko kujipa tabu!
Nani kakuambia ---- kutumia simu ni kujipa tabu? Kama haujui simu kama hii inatoa 3g internet tena unaweza kuconnect device hata tano wakati mmoja. Ni vizuri kujifunza mbinu mbalimbali ili kuweza kuwa na machaguo mengi.
NMdugu nunua modem tsh 30 elf tu inakushindaje internet kwa simu kama modem ni kichina speed yake ni zaidi ya mwendo wa kobe utashindwa hata kufungua JF
nilitaka ni save money mkuu
nilitaka ni save money mkuu