The African Pablo
Member
- Jul 18, 2019
- 33
- 32
Naomba mbinu za kuongeza speed ya Internet, wadau.
tafuta tu mtandao wenye network nzuri mzee,pia jitahidi upate kifaa chenye kasi ya internet ya 4g zaid ya hapo hamna namna
Hapa naona itakuwa ngumu. Cha kwanza inatengenezwa kwanza kifaa(hardware) kinachosapoti 4G alafu ndipo software.Kwani hakuna namna ambayo anaweza akafanya aka ki upgrade hicho kifaa chake kisichokuwa na 4g kikaanza kusapoti 4g hili ainjoi maisha?
Hapa naona itakuwa ngumu. Cha kwanza inatengenezwa kwanza kifaa(hardware) kinachosapoti 4G alafu ndipo software.
Kwahiyo kama kifaa hakina uwezo wa kuhandle software ya 4G, hata ikiwepo haitofanya kazi.
Kwani hakuna namna ambayo anaweza akafanya aka ki upgrade hicho kifaa chake kisichokuwa na 4g kikaanza kusapoti 4g hili ainjoi maisha?
Naomba mbinu za kuongeza speed ya Internet, wadau.
Simu, mkuuinternet ya simu au computers?
Simu, mkuu