Big Phil
Member
- Nov 20, 2019
- 50
- 338
️️️️️
Je ameku block ?ukipiga unaambiwa namba unayopiga inatumika kwa sasa kila muda ukipiga au hapatikani na ukimcheki kwa namba nyingine anapatikana hii hapa trick ata kama ameku block simu lazima ita ita tu.
Kwenye simu kuna kitu kinaitwa caller ID au caller identification ni huduma ambayo ipo kwenye Sim card inayomsaidia mteja kufanya utambuzi wa simu iliyopigwa na hii by default hia inakua on kwenye simu ,sasa kwasababu ameku block kitu unachotakiwa kufanya ni ku turn off caller id.
Ili simu yake isitambue namba yako kwamba imei block sijui kana flow ??? Ukii hide caller id yako na ukampigia kwake itatokeza kama private namba inampigia sasa cheki namna ya kuzima hio caller id
Android
Id then simu yako itakua anonymous na utaweza ku bypass blocked list
Halafu kwenye iphone tumia hii
Settings >call settings >show my caller id>slide kushoto iko ki button then enjoy life
Tumia code ya *67namba ya simu unayoipigia then ipige hio namba mfano *67 0782503218 ila hii inafanya kazi kwenye simu za mezani ambazo hazina caller ID.
Je ameku block ?ukipiga unaambiwa namba unayopiga inatumika kwa sasa kila muda ukipiga au hapatikani na ukimcheki kwa namba nyingine anapatikana hii hapa trick ata kama ameku block simu lazima ita ita tu.
Kwenye simu kuna kitu kinaitwa caller ID au caller identification ni huduma ambayo ipo kwenye Sim card inayomsaidia mteja kufanya utambuzi wa simu iliyopigwa na hii by default hia inakua on kwenye simu ,sasa kwasababu ameku block kitu unachotakiwa kufanya ni ku turn off caller id.
Ili simu yake isitambue namba yako kwamba imei block sijui kana flow ??? Ukii hide caller id yako na ukampigia kwake itatokeza kama private namba inampigia sasa cheki namna ya kuzima hio caller id
Android
Call Settings > Additional Settings > Caller ID halafu hide caller
Id then simu yako itakua anonymous na utaweza ku bypass blocked list
Halafu kwenye iphone tumia hii
Settings >call settings >show my caller id>slide kushoto iko ki button then enjoy life
Tumia code ya *67namba ya simu unayoipigia then ipige hio namba mfano *67 0782503218 ila hii inafanya kazi kwenye simu za mezani ambazo hazina caller ID.