Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,314
Wana JF hasa wataalam na wenye uelewa wa hizi IPHONE,nilijaribu ku apgrade software ya iphone 2g 8gb baada ya kufanikiwa ikajolock kabisa,nimejaribu ku unlock nimefanikiwa kupata network ya service provider wa mobile,hivyo naweza kupokea na kupiga simu,lakini sina uwezo wa kuintaract na facility zingine za iphone kwa sababu haifunguki inaishia kwenye Sign ya kuonyesha kuconnect na itunes au emergency call only. nimejaribu kubrowse mwenyewe nikapata redsn0w 0.9.4 kama ndiyo softaware ya ku jailbreak na unlock kwa kutumia firmware ya 3.1.2. lakini kila ninapojaribu kurun hii redsnow 0.9.4 na firmware 3.1.2 haiwezi kutambua ispw. Naomba kama kuna mtaalam anisaidie kwa hili.
Natanguliza shukran.
Natanguliza shukran.