Namna ya kufungua Website ya Taasisi

Namna ya kufungua Website ya Taasisi

Omwojo

Member
Joined
Mar 3, 2015
Posts
80
Reaction score
15
Wana Jamiiforums leo katika kikao cha shule wetu tumeazimia kufungua website.

Naomba nisaidiwe kuhusu namna na utaratibu mzima wa kufungua website shule kama Taasisi.
 
Wana jamii forum leo katika kikao cha shule wetu tumeazimia kufungua website, naomba nisaidiwe kuhusu namna na utaratibu mzima wa kufungua website shule kama taasisi.

Upo wapi unipe dili hilo
 
uwezo wako wa kutumia computer upoje? kama ni site tu ya shule unaweza kuelekezwa hapa hapa sio ngumu sana, pia hata kama utatengenezewa itahitajika ku update habari mara kwa mara hivyo itabidi tu muwe na mtu wenu hapo hapo ndani atakaekuwa anafanya kazi hio.
 
Wana Jamiiforums leo katika kikao cha shule wetu tumeazimia kufungua website.

Naomba nisaidiwe kuhusu namna na utaratibu mzima wa kufungua website shule kama Taasisi.

nina host na ku design websites kwa Tsh 120,000 (limited time offer)

Niko mwanza pia, call me on 0767659145, 0787659145
Email: alphonce_tz@hotmail.com
 
uwezo wako wa kutumia computer upoje? kama ni site tu ya shule unaweza kuelekezwa hapa hapa sio ngumu sana, pia hata kama utatengenezewa itahitajika ku update habari mara kwa mara hivyo itabidi tu muwe na mtu wenu hapo hapo ndani atakaekuwa anafanya kazi hio.

Kutumia computer niko gud ni ya shule mkuu, help
 
Mkuu nipo Mwanza. tunaweza tukafanya kazi hiyo. kwa bei nafuu kabisa ni PM
 
Wana Jamiiforums leo katika kikao cha shule wetu tumeazimia kufungua website.

Naomba nisaidiwe kuhusu namna na utaratibu mzima wa kufungua website shule kama Taasisi.

Taasisi, gani, inafanya nn? Una drawing angalau ya kuchora, requirements n.k?
Katika terms za kusaidiwa ni vyema nikajua tasisi yenyewe. Karibuni.
 
Ni shule ya sekondari mkuu, special kwa ajili ya kutuma matokeo, joining instructions na matangazo mbalimbali as well as vitu vngne vya kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom