king majah
Member
- Jan 10, 2013
- 61
- 50
Nina wazo la kufungua gazeti langu litalohusisha mambo ya kijamii,siasa,michezo na burudani pamoja mambo mengine mbali mbali ya kitaifa na kimatifa.Nataka kufahamu,he natakiwa kuwa na mtaji wa kiasi gani?
Pili kuna utaratibu gani hufuatwa kwenye usajili wa gazeti?
Pili kuna utaratibu gani hufuatwa kwenye usajili wa gazeti?