Tukitaka mapenzi ya enzi za mama zetu ya rudi na hawa wanawake watupende na kuheshimu wanaume bila kujali ile zana ya 50_50 imewaathiri vipi, njia sahihi ni kwa wanaume wote kuadhimia kuto wapa wala kuwa honga ela hawa wa kina dada wasasa bila kujali wapo na matatizo gani.