Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Wadau nimejiwa na wazo hapa wakati natazama kipindi cha jicho letu star tv. Wazo la kuanzisha kipindi, mimi ambaye siko kwenye media. Ikiwezekana si lazima nikiendeshe mimi ila nikiratibu tu according ya kile ninachofikiri. Nataka kipindi kama kile cha dk 45 cha itv. Nawasilisha