Namna ya ku - unlock ipad2 3G

kaburunye

JF-Expert Member
May 12, 2010
672
74
Wadau,
Nimepata ipad2 3G ambayo iko locked kutumia sim card ya japan (Softbank network). Je kuna uwezekano wa kui-unlock ili ikubali kutumia mitandao yetu ya kibongo? Je hii huduma ya ku-unlock inapatikana wapi? Msaada tafadhali
 
nadhani njia moja ni kuiJailbreak then utaUnlock kwa mitandao yote kupitia 'Cydia' application,,,,
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom