Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 11,303
- 23,756
Sawa. Inamaana suala la siku tunafuta, huko mbele nimeuliza kuhusu amri kumi kutaja siku ya ibada ndo naeleweshwa hapa kuhusu amri ya ikumbuke siku ya saba kuwa ilikuwa ya musa na watu wake. Nimehoji swali.Ibada halisi ni rohoni mwa mtu wakati wote, siku zote (Luka 18:1)
1. Je sio kila ujumbe umemlenga kila mtu katika biblia? Naendelea kusoma majibu