KUKU-DUME
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 474
- 196
wana bodi nawasalim
nimekaa nimetafakari ambavyo vijana wanatumiwa na kundi la lowasa sasahiv nikagundua na ilikuwa hivyo kwa kikwete na matokeo yake vijana wamekuwa wakwanza kulalamika kuwa wanakosa ajira wana maisha magumu na wakasahau kuwa wao ndio walikuwa wanamuunga mkono kwa kuhongwa na kukimbilia vi hela vya siku moja....sasa basi na mwaka huu hao hao vijana baadhi wamesahau kilicho wapata kwa kikwete na wameanza kujitoa ufaham kwa kununuliwa utu wao na kumshabikia lowasa kisa wamenunulia
wito wangu kwa vijana :
hii nchi sahiz imefika pabaya kutokana na kukosa busara za viongoz kwa ufisadi na mmoja tunae/tunao mshabikia lowasa na tukasahau kuwa huyu ndiye alie jiuzulu kwa ile richmondi ni kuendelea kuwa hatuna akili...
pili hii nchi imekuwa na maden makubwa sana ambayo nionavyo ni kuwa rais ajae lazima awe na roho ngumu sana na lowasa hawez kwani ataingia kwanza kwa kulipa visasi kwa watu walio tofautiana kimaslahi..na kushindwa kuendesha nchi...
hivyo naomba vijana wenzangu NI VIGUMU KUTATUA TATIZO KWA KUTUMIA NJIA ZILEZILE ZILIZO KULETEA TATIZO...we need changes.
nimekaa nimetafakari ambavyo vijana wanatumiwa na kundi la lowasa sasahiv nikagundua na ilikuwa hivyo kwa kikwete na matokeo yake vijana wamekuwa wakwanza kulalamika kuwa wanakosa ajira wana maisha magumu na wakasahau kuwa wao ndio walikuwa wanamuunga mkono kwa kuhongwa na kukimbilia vi hela vya siku moja....sasa basi na mwaka huu hao hao vijana baadhi wamesahau kilicho wapata kwa kikwete na wameanza kujitoa ufaham kwa kununuliwa utu wao na kumshabikia lowasa kisa wamenunulia
wito wangu kwa vijana :
hii nchi sahiz imefika pabaya kutokana na kukosa busara za viongoz kwa ufisadi na mmoja tunae/tunao mshabikia lowasa na tukasahau kuwa huyu ndiye alie jiuzulu kwa ile richmondi ni kuendelea kuwa hatuna akili...
pili hii nchi imekuwa na maden makubwa sana ambayo nionavyo ni kuwa rais ajae lazima awe na roho ngumu sana na lowasa hawez kwani ataingia kwanza kwa kulipa visasi kwa watu walio tofautiana kimaslahi..na kushindwa kuendesha nchi...
hivyo naomba vijana wenzangu NI VIGUMU KUTATUA TATIZO KWA KUTUMIA NJIA ZILEZILE ZILIZO KULETEA TATIZO...we need changes.