Nammna ya Kuficha documents bila kutumia Software

Nammna ya Kuficha documents bila kutumia Software

Info Boy
.
stop reading old tricks
from 1999
.
.
 
Last edited by a moderator:
wakuu kila nikifika mafile yangu nikitumia izo njia mnazoelekeza sipata file zangu msaada tafadhar naomba mnielekeze natumia window 7
 
Hapa si sawa na ku hide tu folders? Niki change properties za folder display to "view hidden folders" si ni sawa tu...hii itakuwa ni trick kwa learners wa PC ila wazoefu huwezi ficha hivyo
 
Huwez ficha kwa staili hiyo,utawafichia wasiojua!kiufupi kama mtu ameficha kitu na unataka ukione fanya hivi
-tambua aina ya files unazozitafuta kama ni music,videos,pics n.k
-nenda kwny start button na search kwa ku2mia extention!
Mfano unatafuta nyimbo,file extention yake mara nyingi ni mp3 so type .mp3
hapo utapata nyimbo zote zilizopo!
.Mlv~videos files
.pdf~texts files n.k
Hafichi mtuuuuu!
 
Duh usumbufu wote wa nin?basi tuelekeze kudelete files kwa ku2mia command prompt!
 
Wakuu msaada kwa anaejua soft ware yoyote ya kuweka password kwenye mafile yangu ya kwenye pc anitajie . Msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom