Namkumbuka lakini simtamani

kama unapenda rudisha majeshi tu kitu gani bwana jamaa ni halali yake kuulinda mzgo wake.....atazoea tu.
 
Pole ila hata unavyoandika humu maana yake si unaongeza degree ya kumkumbuka? Ningekuwa wewe hata kusikia jina lake tu nisingeruhusu!!! Nikikuacha mimi kurudi ni sawa na kutaka kumeza tena matapishi yangu. Sorry for hard language ila ninafikiri the last thing a man will do to me ni kunitusi achilia mbali kunipiga.
 

Hadith yako inatufundisha nini bibi?toa uchafuwako hapa unataka so tufanyeje sasaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…