Nilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana.lakini ikatokea mm nkahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi.kwa ahadi za kukutana kwan muda s mrefu yeye anaanza likizo.bas nam pamoja na familia yangu tukahamia dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu nnasomea hapa dar.umbali ukawa tatzo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu.kias kwamba hata kama npo darasan sjapokea smu yake au kumjbu sms yake lazma tugombane.nkamvumlia lakn kubwa ikawa sku moja npo na wenzangu tunaenda kununua chps kama chakula cha jion, hyo sehemu ilkuwa na mzk hv.mpenz wangu yule akanpgia nam nkapokea nkamsalmu vzur lakn nkamtaka radh, nkamwambia npo nanunua chakula na hpo nlpo pana kelele hv kias kwamba smskii vzur, so, anpe dak.5 ntampgia.lahaula! Ikawa kosa,bwana yule akawa mbogo, akaanza kuntukana na kunsema npo na ma bwana zangu.nkajarbu kumuelewesha lakn nltwanga maj kwenye knu.akaniambia kuanzia hapo nsmpigie smu, kla mtu aendelee na hamsn zako.loh! Nliumia mtoto wa kike, chps zkantumbukia nyongo.nkajlza paleeee mpaka kulpokucha..nkapga sm na kutuma sms sku nzma lakn hakupokea wala nn ikawa bila bila.nkagv up nkrngansh na tabia zake za wivu na unywaj pombe kuptlza, nkampotezea.hapo sasa yeye akaanza kurud kwangu lakn mm skuw tyar.
Sasa bas, nmeanza tabia ya kumkumbuka tho smhtaj wala kumtaman.namkumbuka vtuko vyake, kisses zake...romantic conditions zoote zake.lakin simhtaj tena.just a memories