Namkumbuka lakini simtamani


..kimbembe sasa upate asiye na hela..lol..
wanawake mda shida Sana..
 
endelea kunimendea tuuu........na unavyojipa mahope utajuteje......

We jipe moyo tu. Lazima nikulaze kwenye sita kwa sita yangu. Baada ya hapo itakuwa zamu yako kunimendea.
 
Huko elimu ya juu mnafundishwa kuandika kwa kutumia vifupisho na bila kuweka parandesi?
 
Alaaa, ndiyo imeisha!!???

Kweli hii "kan'tangaze!!!
 
Kwel akl yako haijafunguka.co lazma uajriwe
Sio lazima uajiriwe but ujiajiri au usijiajiri kote kunahitaji smartness!
Au wewe utauza kwa wasiojitambua na bidhaa yako itakuwa kama ya Tanesco?
 
Sio lazima uajiriwe but ujiajiri au usijiajiri kote kunahitaji smartness!
Au wewe utauza kwa wasiojitambua na bidhaa yako itakuwa kama ya Tanesco?

U never know
 
Huko elimu ya juu mnafundishwa kuandika kwa kutumia vifupisho na bila kuweka parandesi?

Kama unataka kuandka kwa ufasaha kasome jukwaa la wakubwa kule..au umr haukuruhusu???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…