Namkumbuka kwa mengi mchungaji Mtikila

Namkumbuka kwa mengi mchungaji Mtikila

Mtikila alikuwa chizi tuu kama wapangwa wenzake wakina Deo.Hakuwa na lolote zaidi ya kuwa pesmistic tuuu.Alipoibuka mwanzon mwa tisini alibebwa na upepo wa mageuzi lkn hakuna landmark yoyote aliyoiacha zaidi ya undumilakuwili na unafiki,mwisho wa siku akajitabiria kifo kwa kumtumia mzee lowasa.Ni afadhari huyu mdudu aliondoka wakati alioondoka.
 
nakumbuka harakati zake za mgombea binafsi wa urais na tume huru ya uchaguzi...

R.I.P
 
Ulisema " mungu alimlaani"

Unamaanisha kifo chake kilitokana na laana.
Yeye aliyekuwa mzima kabisa na yule waziri wakamdharau mgonjwa kwa kumwita maiti inayosubiri kuzikwa, na wote wawili hawakuchukua mwezi wakawa wamekufa kwa ajali na presha, yule waziri wakajaribu kumkimbiza India lakini wapi Mungu alikuwa amechukizwa sana
 
Yeye aliyekuwa mzima kabisa na yule waziri wakamdharau mgonjwa kwa kumwita maiti inayosubiri kuzikwa, na wote wawili hawakuchukua mwezi wakawa wamekufa kwa ajali na presha, yule waziri wakajaribu kumkimbiza India lakini wapi Mungu alikuwa amechukizwa sana
Hii ndio dhana ninayokuomba uondokane nayo. Hawa watu siku zao zilifika.

Mifano ipo mingi......
 
Hii ndio dhana ninayokuomba uondokane nayo. Hawa watu siku zao zilifika.

Mifano ipo mingi......
Sasa dalili za kuonyesha siku zao zilikuwa zimefika ndiyo hizo, kujiona wewe hufi ila wenzako wagonjwa ndiyo watakufa refer wimbo unaopigwa na TBC kwenye kipindi cha wagonjwa
 
Sasa dalili za kuonyesha siku zao zilikuwa zimefika ndiyo hizo, kujiona wewe hufi ila wenzako wagonjwa ndiyo watakufa refer wimbo unaopigwa na TBC kwenye kipindi cha wagonjwa
Kwa hiyo dunia hii kila anayekashifu wagonjwa kesho yake hufa?

BTW hadi leo hii makundi ya watu wanamkashifu EL kuhusu afya na still wapo hai (japo wanapata dhambi kwa kufanya hivyo na wataadhibiwa)
 
Kwa hiyo dunia hii kila anayekashifu wagonjwa kesho yake hufa?

BTW hadi leo hii makundi ya watu wanamkashifu EL kuhusu afya na still wapo hai (japo wanapata dhambi kwa kufanya hivyo na wataadhibiwa)
Wewe unatafuta kaubishi fulani na mimi, aisee tafuta mtu mwingine wa kubishana naye
 
Mtikila alikuwa chizi tuu kama wapangwa wenzake wakina Deo.Hakuwa na lolote zaidi ya kuwa pesmistic tuuu.Alipoibuka mwanzon mwa tisini alibebwa na upepo wa mageuzi lkn hakuna landmark yoyote aliyoiacha zaidi ya undumilakuwili na unafiki,mwisho wa siku akajitabiria kifo kwa kumtumia mzee lowasa.Ni afadhari huyu mdudu aliondoka wakati alioondoka.
Rudi usome historia ya mtu huyu ndiyo utamjua vizuri. Mimi nilikuwa namfahamu kijuu lakini niliposikia wasifu wake wakati anaagwa Kareemjee Hall nilibaki mdomo wazi! Hata Mh Rais was kipindi hicho alikuwepo!! Tusiione hii TZ yetu kuna watu wana historia nayo, Mch. Mtikila ni mmojawapo!! Kuna makabila ni madogo kama ilivyo wapangwa! Lakini hivyo vichwa ulivyovitaja, kila mtu anajua mziki wake!!
 
Kuna mwimbaji mmoja wa nyimbo za injili kama sikosei ni Bahati Bukuku aliimba wimbo mmoja unasema "Abineri umekufaje Abineri, na mfalme Daudi alimlilia sana yule kamanda wake kwa kifo alichokufa! Huwa nikiwaza kuhusu yule Mtanganyika, nakuta ule wimbo unakuja moyoni mwangu! Japo nilikuwa nakupenda kwa misimamo yako ya kuisemea mama Tanganyika, ila kule kumsema kiongozi mmoja kuwa ni maiti anayetembea hapo katu sitokuunga mkono! Pamoja na hayo yote, "Pumzika kwa amani mwana mwema wa Tanganyika"!
 
Serikali ifanye uchunguzi wa vifo vya wanasiasa vinavyohusiana na ajali za magari na mshtuko wa damu japo ni muda mrefu umepita. Tumepoteza watu muhimu sana ni vyema kuzuia kupotea kwa watu muhimu zaidi. Maendeleo ya Tanzania yanahitaji wanasiasa mashuhuri na muhimu kama Mchungaji Mtikila.
 
Rudi usome historia ya mtu huyu ndiyo utamjua vizuri. Mimi nilikuwa namfahamu kijuu lakini niliposikia wasifu wake wakati anaagwa Kareemjee Hall nilibaki mdomo wazi! Hata Mh Rais was kipindi hicho alikuwepo!! Tusiione hii TZ yetu kuna watu wana historia nayo, Mch. Mtikila ni mmojawapo!! Kuna makabila ni madogo kama ilivyo wapangwa! Lakini hivyo vichwa ulivyovitaja, kila mtu anajua mziki wake!!
Hakuna cha mziki wala nini,Mtikila alikuwa msumbufu tuuundo maana aliishia kufungwa na kupigwa mawe kule Tarime.Anachukua hela leo kwa Rostam Aziz kesho yake anawaponda kanisa la Lutheran kinondoni kwa kupewa hela na Rostam eti ni pesa za ufisadi.Hicho ndo kichwa chenye historia na Tanzania? Mambo mengi ya kusoma kama cv ya marehemu huwa ni ya kupika na usanii tuuu.Mchungaji wa kanisa lisilo na address si atakuwa mchungaji popo? Mtikila alikuwa chizi tuualitoka na fungu la nyanya makambako ndo alipopata ajali na kuaga dunia,gari yenyewe eti GX 100 ya kukodi,ni uchizi mtupu.
 
Back
Top Bottom