Namiss sana hizi mavitu: HIP-HOP BASE ya EATV, FIDYSTYLE YA CHEUSI DAWA TV

huo mstari wa kwanza wa stereo utamhukumu popote aendapo

sterio anajiona ni mwandishi mzuri na nikweli ana uandishi mzuri lakini sidhani kama atafiti huko alipo. Hata suma mnazareti alienda lakini leo yukwapi

Kauli ya Madee (Hip Hop Haiuzi) imewapotosha sana maemc wetu wa hip-hop. Ila naamini kuna maEmc hawatakuja kubadilika kamwe... mtu kama Nash Mc nategemea kuendela kumsikia ktk hip hop mpaka mwisho wa maisha
 
Kuna yule jamaa aliimba wimbo mmoja unaenda G G mwanzo mwisho "nani mbanaa G nani msemaa G" hivi anaitwa nani yule jamaa asee na nani anaweza kuwa na ngoma yake wadau jamaa aliiandika ile ngoma asee mwenye nayo,please.
 
Kauli ya Madee (Hip Hop Haiuzi) imewapotosha sana maemc wetu wa hip-hop. Ila naamini kuna maEmc hawatakuja kubadilika kamwe... mtu kama Nash Mc nategemea kuendela kumsikia ktk hip hop mpaka mwisho wa maisha

hata uno hawezi badilika kamwe coz alishawishiwa na watu akakataa ndo mana alizinguana hata na clouds
 
so harakat bora ziendelee hapa kwan mc tunawapoteza kama jembe bila mpini chek mtu kama mox wap tena kichwa changu adili wap au ndo peke yangu t vip watengwa wap nako t nako jaman umoja ni nguvu tupeane saport
 
so harakat bora ziendelee hapa kwan mc tunawapoteza kama jembe bila mpini chek mtu kama mox wap tena kichwa changu adili wap au ndo peke yangu t vip watengwa wap nako t nako jaman umoja ni nguvu tupeane saport

ADILI MKWELA a.k.a HISABATI, huyu mwamba nae siku hizi dizaini kama anapotezea game kimtindo, au sijuwi ndo vile 'Bora Peke Yangu'. Alikuwa na mzuka sana way back kipindi kile yupo 'Choka Mbaya' na akina Simple X.

Unajua mkuu, kutokana na longolongo na magumashi ya music industry ya Bongo, miamba kibao ya Hip-Hop imeamua aidha kupunguza kasi ama ku-quit kabisa kazi ya hip-hop music. Wakali kama Hashim Dogo a.k.a Mwendawazimu, Salu T, Imaam Abas, Zavara a.k.a Chief Rymeson wa Kwanza Unit, KBC a.k.a K-Single wa Kwanza Unit, Saigon mwenyewe, Dr John wa Wagosi wa Kaya, n.k. wote hawa leo hii pengo lao linaonekana wazi katika hip-hop music ya bongo
 
Harakati halisi za hip hop kwa mtazamo wangu ni kama zinapitia kipindi kigumu sana japo naona watu wengi wameanza kuelewa na kukubali na kuipenda kwa dhati hip hop! Nadhani kungekuepo na programz nyingi ktk tv stations kama ile hip hop base zingesaidia sn watu kufaham hip hop,ila tunaona baadhi tu ya radio ndo wana vipnd mfano ni kile cha jabir saleh au kiss fm na vinginevyo lakin TV stations sijabahatika kuona..pia zile concert kama ile ilikua pale british council ya words and pictures sijui ht imefia wapi na mimi naamin zile ndo harakati zenyewe sababu ziliisogeza hip hop kwa namna ya kipekee kabisa ktk nchi hii!
 
Kuna Kipindi alikuwa anakiendesha Stivie Kabuye Alias Kafaya kinaitwa SUPATRAXX Star TV kilikuwa ni qwere yani jamaa alikuwa anapiga mahiphop ya kufa mtu halfu Background Beat yake ilikuwa mtu mzima Common ft Last poets-The Corner yani ilikuwa ni Shigggdaaaa!
 
Kuna Kipindi alikuwa anakiendesha Stivie Kabuye Alias Kafaya kinaitwa SUPATRAXX Star TV kilikuwa ni qwere yani jamaa alikuwa anapiga mahiphop ya kufa mtu halfu Background Beat yake ilikuwa mtu mzima Common ft Last poets-The Corner yani ilikuwa ni Shigggdaaaa!

nakinyaka hiko mwana yaani lilikua bonge la pindi sijui wametupia wapi star nao wazeee tu
 
Kuna Kipindi alikuwa anakiendesha Stivie Kabuye Alias Kafaya kinaitwa SUPATRAXX Star TV kilikuwa ni qwere yani jamaa alikuwa anapiga mahiphop ya kufa mtu halfu Background Beat yake ilikuwa mtu mzima Common ft Last poets-The Corner yani ilikuwa ni Shigggdaaaa!

baadae alikuja kukiendeleza Ezden the rocka. Jamaa alisapot sana hphop
 
Ijumaa nlikutana nae mchizi samaki samaki m.city, na alitupia kanzu, afu chini raba kali!
Aliambatana bnt mrembo matata
 
Back
Top Bottom