Namchukia sana huyu dada aliyenitosa

Namchukia sana huyu dada aliyenitosa

mzee wa misele

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
366
Reaction score
46
Wakuu,

Natumaini kila yuko salama kuna mdada mmoja tunaishi nae mtaa mmoja nilitokea kumpenda sana na nilikuwa na mpaka nimuweke ndani maxima siku ya kwanza kuonana nae ilikuwa dukani alikuwa akinunua mahitaji ya nyumbani na Mimi nilikuwa nikitembea mitaa hiyo kwenda kwenye Mishe zangu nilipomuona nilivutiwa nae sana ikabidi nimfuate nikampa hi!

Kisha tukafahamiana kidogo kutokana na ucheshi wake na tabasamu lake lilinifanya nimtazame usoni kwa muda mrefu sio siri ni mzuri sana kwa jinsi alivyokuwa mzuri akipita mtaani hakuna mwanaume hasiyezungusha shin go take kumuangalia ana figa hata Beyonce haoni ndani.

Siku hiyo tukabadilishana namba baada ya hapo nikamuaga nikaondoka siku inayofuata nikampigia simu kumjulia hari baada ya wiki moja nikapanga tuonane ili nivunje ukimya, nilipokutana nae nikamueleza ya moyoni kwa kweli lile jambo hakulipokea akadai haitaji kuwa na Mimi iliniuma sana kumkosa ikabidi nimuage na kuondoka ila toka siku hiyo nimetokea kumchukia sana.

Wakuu nifanye nini niepukane na hali hii.
 
samahan kwa hili swali unaish kwako au kwa wazaz wako?
 
Meza mate usiyaweke kooni utapata kiharusi bure kabla ya wakati. Asiyekuwa wako sio wako. Aliye wako atakuja tu siku ikifika. Mezea na songa mbele maisha yaendelee mbele. Uzuri wa pipi ni mate yako mwenyewe.
 
We uliingia na gia ya angani kwa wiki moja kama mbowe alivyo fanya, lazima akuteme maana hakuna namna.
 
Mkuu we mpotezee maana kuna wanawake wengi sana tena wazuri kupita huyo unaemlilia.
 
Mvizie usiku na washkaji mkamateni mkampige mtungo
 
Kuna kitu kinaitwa kukata rufaa dogo

Wewe ng'ang'ania tu ataelewa usijenge chuki kwa watoto wazuriii

kama huto mind nipe namba yake
 
kumjengea chuki ndo wakosea sana...we kuwa kawaida tu, msalimie, mpigie simu kumjulia hali nae polepole atajua kuwa u mtu mwema na ndo atafikiria ombi lako, sa we wataka akubali tu hata hakujui maisha yako, tabia zako marafiki ulionao je akijikuta kamkubalia mtu asiye sahihi... so ndo hivyo, endeleza wema kitendo cha kukubali kukupatia namba ni wazi kuwa amekukubali ila sio kirahisi hivyo akubali kama wataka huduma ya changudoa
 
Hakuna mwanamke mzuri aliye single,cjui kama unalielewa hilo?
 
Mwanamke hawezi kukubali ndani ya siku moja mpaka akusumbuesumbue ndio aingie laini ww mkomalie tu
 
Back
Top Bottom