Namba za magari ya PCCB au takukuru

Namba za magari ya PCCB au takukuru

sigachuma

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
233
Reaction score
29
Hivi Hawa jamaa wa takukuru kwa nn wanabadilishabadilisha no za magari Yao na sio madereva au maofisa wao kwa hadi wanakera. Magari yenyewe ya gharama ambayo ni raia wachache hasa waarabu.
 
Uko wapi mkuu, maana huku kwetu kapalamsenga hakuna hata bajaj zaidi ya basikweli na toyo za kuhesabu
Hivi Hawa jamaa wa takukuru kwa nn wanabadilishabadilisha no za magari Yao na sio madereva au maofisa wao kwa hadi wanakera. Magari yenyewe ya gharama ambayo ni raia wachache hasa waarabu.
 
Hivi Hawa jamaa wa takukuru kwa nn wanabadilishabadilisha no za magari Yao na sio madereva au maofisa wao kwa hadi wanakera. Magari yenyewe ya gharama ambayo ni raia wachache hasa waarabu.

MM, hebu funguka vizuri mkuu maana hujaeleweka kabisa!
 
Namsaidia ni kwamba PCCB kama wafanyavyo polisi kitengo cha CID. wana tabia ya kubadili namba za magari. Mara wanatumia namba za kiraia, mara zile za DFP, sa ingine wanakuja na namba za zamani. Wakati magari ni yaleyale na madereva ni walewale wakati lengo na kufanya sisi Raia tusiwatambue.
 
Hivi Hawa jamaa wa takukuru kwa nn wanabadilishabadilisha no za magari Yao na sio madereva au maofisa wao kwa hadi wanakera. Magari yenyewe ya gharama ambayo ni raia wachache hasa waarabu.

wewe hakimu wa mahakama ya mwanzo?
 
Inawasadia msizitambue gari zao
...Huwezi kushindwa kuzitambua gari zao hata kama watabadirisha namba labda useme hawataki mtabue namba wanazotumia....kama gari ni Nissan patrol itabaki kuwa hivyo unless wabadirishe na rangi.....
 
  • Thanks
Reactions: tz1
Hivi Hawa jamaa wa takukuru kwa nn wanabadilishabadilisha no za magari Yao na sio madereva au maofisa wao kwa hadi wanakera. Magari yenyewe ya gharama ambayo ni raia wachache hasa waarabu.

Sijakuelewa kabisa
 
...Huwezi kushindwa kuzitambua gari zao hata kama watabadirisha namba labda useme hawataki mtabue namba wanazotumia....kama gari ni Nissan patrol itabaki kuwa hivyo unless wabadirishe na rangi.....
Nakubaliana na wewe,hii ni sawa na kubadilisha nguo ili usitambulike wakati sura ni ile ile.
 
wewe hakimu wa mahakama ya mwanzo?

Hapana sioni kazi Yao kubwa hapa zaid ya kuwashukia kuwa wao ndio wala rushwa wakubwa na wanyonyaji sana. Kila siku utasikia wahoji watu kwa hizi rushwa Ila hakuna wanayempeleka mahakamani. Hii kazi ingechukuliwa na auditors tu sio wao na sijaona utaalam walionao zaid ya kufanya mambo ya kufikirika tu na ndio maana kesi zao nyingi zinawashindA baadae. Utakuta kazi Yao kubwa ni kuchokonoa chokonoa tu wakati hata anachokiuliza Hana uhakika nacho, wanasoma chuo gani hawa jamaa?
 
Nimekutana na gari lile lile zaidi ya Mara 4 , Mara ya kwanza ilikuwa STK, baadae ikawa T ....BBC, ghafla naona DFP, Ila driver yuleyule. Naona Kama wanahangaika sana wakati watu hawana time na wao, vitengo vingine ni kuchezea kodi za wa Tz tu. Toka nimefika Mahali hapa nilipo cjawah ona mtu kapelekwa mahakaman zaid ya kuona foleni ya wanaohojiwa tu, Nina wasiwasi wanamalizana palepale, kwan rushwa inatolewa sana hasa kwa hawa jamaa wa barabaran wanaokAgua magari. ni bora wakawaachia wakaguzi wa mahesabu kile kitengo ieleweke 1 tu.....Ila sina Shaka kwani Katiba mpya yaja
 
Na iyo katiba mpya naona itawanyosha,maana wao usiku mchana wanatumia magari ya kifahari sana
 
Back
Top Bottom